Roma Mkatoliki: Sera za Maji na Umeme tulipaswa kumaliza mwaka wa 10 baada ya Uhuru!

Yeye aje agombee uongozi umri unakwenda huko alipojificha. Isiwe kazi nyepesi kuwashauri wapiga kura ni muda wa yeye kutoa mchango wake wa kisiasa mbali na muziki anaaumba na kupata pesa.

Akili zile zile za Diaspora wakiwa huko US wanapinga kila kitu wakija bongo na kupewa nafasi wanafanya madudu kuliko yale waliyoyakosoa.
 
Anaweza akiwa na akili na mambo yakawa safi maana hawezi kuwa na akili kama hizi za hawa wa sasa za kuagiza gari moja ya 600milion kwa ajili ya kutembelea mkuu wa wilaya mmoja wakati kuna vijiji vina watu 300 havina maji ambapo mradi wa tsh 20milion tuu ungetosha kuwapa maji hao watu 3000
 
Kama hana akili hizo ndio sababu ya muhimu ya yeye kuja kuleta mabadiliko ya fikra.

Kuongea mitandaoni mbali, kutenda kile unachokiongea unapopewa nafasi ni mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…