Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Linapokuja suala la ushirikina katika jamii kwa wanaoamini katika hili according to roma mkatoliki anasema "wachawi (wanga)wengi ni wanawake kuliko wanaume.
Hata wanaokwenda kwa waganga wengi ni wakike kuliko wanaume
Swali: je ni kwasababu duniani wanawake Ni wengi zaidi! Au Kuna sababu zingine?
Hata wanaokwenda kwa waganga wengi ni wakike kuliko wanaume
Swali: je ni kwasababu duniani wanawake Ni wengi zaidi! Au Kuna sababu zingine?