kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Mkuu watu wanajua maisha ya wengine kuliko wanavojijua wao.Dah!...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu wanajua maisha ya wengine kuliko wanavojijua wao.Dah!...
Hako ni kachawa ka WCB hua kana chukia kila mtu aliye nje ya mfumo wa WCB.Mbona kama una chuki naye binafsi?
Unaambiwa anakujaga bongo na kusepa kimyakimya
Ingekua ni ww ungeshaliwa au sioNancy wake lazima aliwe tuu miaka yote hiyo uvumilivu ushamshinda
Ila watu khaaaaaah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Roma alinyimwa asylum yupo yupo tu huko analewa muda wote wanaomtunza washamchoka ila hajiongezi. Alizamia as anaenda kupiga show na wale kina chalii ya R. Matokeo yake mke wake wanamchapia tu wahuni.
Makubwaaaaaah lolhawez kurud amepata bibi wa kizungu na amezaa nae, ivyo anatumikia ndoa uko
I sense jealousy here, US anaishi maisha yake na lifestyle yake(hakufahamu/hamfahamiani) anaipanga na kuamua mwenyewe na namna wanavyokubaliana na mke wake it's their own private business. Hata wakiamua kuachana itakuwa ni juu yao wenyewe, maisha binafsi ya mtu, mikakati na mipango yake ni ngumu sana mtu asiyehusika kuifahamu.Ni miaka 4 au 5 tokea msanii Roma Mkatoliki kukimbilia Marekani.
Mpaka leo hatujui sababu zipi zilizofanya utimkie katika nchi za watu na kuwa mkimbizi wa kisiasa
Wakati wew ni msanii mkubwa Sana ulietoa nyimbo nyingi na hit za kiharakati ni muda Sasa wa kurudi bongo Kama mmoja wa shabiki yako tumemisi kukuona kwenye maevent,show,studio na kwenye video Kali.
Roma Mkatoliki uko Marekani unafanya Nini,Kama ulikimbia sababu ya siasa ni muda wa kurudi,
Kama umepata kazi njoo uchukue na familia yako na utangaze umeacha mziki.
Roma Mkatoliki unarudi lini???
Anatumia ID gan mkuukumbe yupo hapa JF
Anamchukua kwa vibali gani labda?Ushauri tu amchukue mkewe aende kuishi naye huko huko "MAMTONI".
Anamchukua kwa vibali gani labda?
Kuna jamaa alinambiaga kwamba alimuona huko ulaya anafanya kazi mgahawani ila sina uhakika maana huyu jamaangu huwaga ni muongo muongo japo kweli anaendaga hukoNi miaka 4 au 5 tokea msanii Roma Mkatoliki kukimbilia Marekani.
Mpaka leo hatujui sababu zipi zilizofanya utimkie katika nchi za watu na kuwa mkimbizi wa kisiasa
Wakati wew ni msanii mkubwa Sana ulietoa nyimbo nyingi na hit za kiharakati ni muda Sasa wa kurudi bongo Kama mmoja wa shabiki yako tumemisi kukuona kwenye maevent,show,studio na kwenye video Kali.
Roma Mkatoliki uko Marekani unafanya Nini,Kama ulikimbia sababu ya siasa ni muda wa kurudi,
Kama umepata kazi njoo uchukue na familia yako na utangaze umeacha mziki.
Roma Mkatoliki unarudi lini???
Ni kamiss flani hivi natural beauty kana uso mzuri[emoji39]Una namba ya mke wake mzee?
Tusaidiane kumtunza