Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Smahani lakini labda kwa sababu simjui vizuri huyu jamaa lakini naona anaongea kama kadata data vile au?

Kwa mnao mjua hivi huyu jamaa yuko sawa kweli?
 
Watakuwa wamepuliziwa sumu na kuambiwa waseme hivi ili wapewe dawa ya kuwaponya laa sivo watakufa tu
Hilo nalo neno... Maskini Roma Mungu akutetee tuuu haya maswaibu si madogo [emoji17] [emoji17] [emoji17]
 
Malaana mengine ndo yanasababisha mtu unakuta unapata matatizo dunian bila kujua. Kama mtu kaish hv haf hajapata mtoto atamlaum nan na ni muuaj mkubwa. Nimewaza lkn
 


Amini unavyotoka, niache na yangu.
 
naomba unisaidie hivi kumbe katika maelezo yangu yote ya kimaandishi humu nimemtaja huyo mkuu wako wa mkoa? halafu kama hutojali hebu tusaidie ni mkuu wa mkoa gani huyo unayemsemea wewe?
mkuu usikijibu hichi kipunguani kisicho na chembe ya akili kimekalia kila kitu oyeee oyee bila hoja ya msingi kama kizezeta, sijui kina umri gani hichi kitoto nahisi kibeki tatu cha bashite 0kama sikosei
 
Pale mtapojua hii series sio ya kwenye tv tuu...ndio akili itawakaa sawa
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji119]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…