Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Roma Mkatoliki usiposema ukweli kesho, wakatoliki halisi tutausema Jumanne

Status
Not open for further replies.
Wewe ndio utuambie ukweli umejuaje alipigwa virungu? ulikuwepo

Sasa umejuaje hatosema ukweli wakati yeye ndio anajua ukweli? Tatizo lenu tayari mna majibu yenu mfukoni sasa mnalazimisha Roma aseme hayo.
Ukweli ni ukweli tuu hata kama hauto wafurahisha kwa hiyo mtulie msilazimishe aseme myatakayo
Povu
 
Mithali 29:11 mnahila nyingi moyoni mwa mtu lakini shauri la bwana ndilo litakalosimama ,Roma pole sana mungu hatakuacha mungu atasimamia u kweli shauri lake litasimama ktk machozi yanu mungu hatanyamaza kamwe ,watekaji watu 4kuficha siri haiwezekani!!the truth wil be out soon kwanza kupelekwa habari maelezo tayari nlishaona vumbi la u kweli kufichwa....Pole roma inatisha sana ukijaribu kuvaa kiatu jamani jamani[emoji22][emoji22][emoji22]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom