Kumbe kutekwa ni siasa, wajinga kama nyie mpo na mnaendelea kuwepo Tanzania, maendeleo itakuwa ndoto.Wanaleta siasa na wenzao wakileta siasa wataanza kulia ooh tunatekwa..naona ameshasahau kibano na kugalagazwa kwenye bwawa..kapona sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kutekwa ni siasa, wajinga kama nyie mpo na mnaendelea kuwepo Tanzania, maendeleo itakuwa ndoto.Wanaleta siasa na wenzao wakileta siasa wataanza kulia ooh tunatekwa..naona ameshasahau kibano na kugalagazwa kwenye bwawa..kapona sasa
We mpuuzi sana..we unadhani unatekwa tu bila sababu..ili ukale ugali na watekaji au uka socialize??Kumbe kutekwa ni siasa, wajinga kama nyie mpo na mnaendelea kuwepo Tanzania, maendeleo itakuwa ndoto.
Mwenye huo wimbo mpya embu aweke hapa tuburudike
Maneno ya khanga sisi wengine hayana maana
Basi sawa ngoja tusubiri
![]()
Roma na Stamina wametinga studio za clouds fm wamevaa jezi.
Jezi ya RomaMkatoliki Imeandikwa WEMA ya Stamina Imeandikwa ZARI.
.
Unadhani wana maana gani?
-Ndumilakuwili-
Si ndio huyu alisema pia Anasepa na pesa kama lowassa?Hata ukinikata damu yangu ni lowassa tupu so Wanangu wa ukawa vidole viwili juu.
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Watakua wanatafuta mabwana especially Roma si kuna tetesi alisukumwa tope alivyotekwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanini muumize vichwa kwa vijimambo vya ajabu ajabu kama hivyo? watz bhana
Ngw'ana Kabula
mhola sana nkoyi, niwelage lūlūOle yomba ginee ngw'ana kabula.
Ole mola?