Roma na Wenzako, Msithubutu kuwasaliti Wapiga Yowe Wenu!!

Kwa nini roma anamuita Ruge boss?? Huyu jamaa ni nani??
 
Ni maisha yake, sio yako!
 
Namwamini Roma na ukweli siku zote hukuweka huru. We believe in you Comrade.
 
ata kama walimfila unategemea watasema ukweli? Mpaka sasa anachechemea.

Greenquards bi mabingwa wakufila. Yani wakikifanya ivyo lazima wakuharbu kisaikolojia.
 
Roma aseme ukweli. Tupo tyar witness protection. Tutachanga pesa hata akaishi marekani.
 
Kama wewe unaujua ukweli si uuseme ?
 
Hali inayiwakabili hao wahanga Roma Mkatoliki na wenzake inaitwa "Stockholm Syndrome"
Iko tiba ya tatizo hilo na kupitia JF wwnaweza kupata tiba wakapona kabisa.
 
ata kama walimfila unategemea watasema ukweli? Mpaka sasa anachechemea.

Greenquards bi mabingwa wakufila. Yani wakikifanya ivyo lazima wakuharbu kisaikolojia.
Duh! Hii yako Kali!
 
We jamaa kumbaffu sana, yaani mwenzio katoka ktk mental torture na hao watekaji wamewaacha kwa masharti kisha wewe unaeshinda mitandao unapiga kelele, watu ka nyie roma awapuuze afuate yake.
Mbona una wasiwasi na povu jingi ukitaka wasiseme! Kwani unahusika vipi?
 
Shida yenu wabongo mnamiliki akili lakini matumizi mmewakabidhi wengine....unadhani yeye roma hana tumbo eeeeh!!
 

Kwako ukweli ni upi. Kama tayari Uko prejudiced. Sasa Kwanini usisem tu we ukweli. Tuambie dada
 
Wabongo bana,tayari unamchimba mtu mikwara ukiwa na speculations zako
 
Wabongo bana,tayari unamchimba mtu mikwara ukiwa na speculations zako
 
Mbona watu mnakari uongo? Nani kasema dr Ulimboka alificha? Angalia hii video jinsi alivyoelezea kila kitu tena akiwa mgonjwa.

Huyu ndo katekwa yule roma shavu dodo karud ...anajua kutekwa ulimboka anajua vema
 
You expect him to endanger his life simply because of instagram /JF idiots,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…