Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari bovu huwa halisukumwi na bovuMjinga wewe achana na Roma. Wewe ndiye msanii wa hovyo.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
KabisaKama imekuuma kunywa sumu ufe hatutaki watu wajinga nchi hii.
Hujawahi kumiliki akili?Kama imekuuma kunywa sumu ufe hatutaki watu wajinga nchi hii.
Hiyo huwa ni mifano ya kitoto.Umenichekesha sana kwa hayo maneno niliyo quote, sasa Wewe shida iko wapi? au ulitaka useme Ukiweka CHAUMA na CCM kwenye Balout atachagua CHAUMA ???
Kumbe Nick wa pili anasifika kwa chuki na wivu eeeh?Wanaokuitaga Nick wa pili huenda hawakosei.
Hii ni chuki tu.
Kwa hiyo anataka kupewa maua ya jeneza akiwa hai?"Nipeni maua yangu niyanuse nikiwa hai"..... Maua aliyoyazungumzia ni yale yanayowekwa juu ya kaburi kwa wakristo
Kwani ulikuwa hujui mkuuu stress za kuchapiwa mke, na kubambikiwa mtoto hizo 😂😂😁Kumbe Nick wa pili anasifika kwa chuki na wivu eeeh?
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Yeye alitaka wakimjua wamuambie?Wanatumia nguvu nyingi kwenye mambo madogo,
Jeshi gani mpaka leo halimjui kigogo[emoji444][emoji445][emoji445]
Hakuna mwanaume anayeweza kuandika hivi. Nishajua jinsia yakoKwani ulikuwa hujui mkuuu stress za kuchapiwa mke, na kubambikiwa mtoto hizo [emoji23][emoji23][emoji16]
Kaona roma ana strive kisa alikuwa anamkosoa magu na magu ndo kamfikisha nikki hapo alipo ndo maana anamchukiaAache ukike na ndiyo maana kabambikiwa mtoto[emoji28][emoji2] mshamba ni mshamba tu hata akipata bilioni habadiliki. Ni kama tabia ya kuzaliwa nayo
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Roma na fid wanafanana, japo did yupo vizuri kidogo.Nyimbo 10 za Roma zinalingana na Career nzima ya FidQ.
Hivi nani alimpa ufalme wa hiphop
Hamna kitu huyo. Lakini sishangai wewe kumkubali maana hata harmorapa ana washabikimti wenye matunda lazima upigwe mawe mi namkubali sana sio lazima wote tumkubali mi nakumbuka sana mstari wake wa kusema "mi nafunga na kusali machozi yangu yatalipwa "
Roma anapendwa sana kuanzia kwenye sosho midia hadi kwenye shoo zakeRoma na fid wanafanana, japo did yupo vizuri kidogo.
Acha kubishana na taira hilo mkuu si unajua watu wafupi wana shida kwenye bongo zaoRoma anapendwa sana kuanzia kwenye sosho midia hadi kwenye shoo zake
Wivu unakutesa jamaa ngoma zake nyingi zinakubalika na wakulungwa toka ameanza miaka ya 2008