Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mshamba kafie mbele chuki kama mtoto wa kike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo mwenyewe ndio umefikiria hadi mwisho?Hip hop sio kama mata** Kila mtu anayo....
Hizi ni liberation struggle machoni pa waTz
Na kawachana mnajipendekeza Ili mpate uteuzi.....
Nimekunukuu
[emoji116]
"Hizi nyimbo za roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza"
Uzuri wa hizo nyimbo ni nini? Ni kweli watu tumetofautiana akili kwa kiwango hiki?Roma anazo nyimbo nzuri kama
Mechi za ugenini
Hii ndo tanzania
Mathematics
Mchungaji akikemea pepo huwa analipa attention?Ndiyo hivyo yeye ameshaimba na wewe usiyemwelewa/usiyempenda umeshaanzisha uzi wa kumdiscuss na yeye amepata tena attention toka kwa mtu kama wewe usiyemwelewa/usiyempenda....another day another milestone for him.... Life goes on....
Hilo andazi analichagua wapi? Ndio maana nasema roma na washabiki wake wote ni wapumbavuNi kweli haipo, ndio maana Roma anachagua Andazi kuliko CCM
Hili ni swali?Kipindi cha chama kimoja uchaguzi ulikuwa unafanyikaje
IF YOU USE THIS ENERGY FOR YOUR LIFE, THEN YOU WILL NOT BEGGING FOR FOODHapo mwenyewe ndio umefikiria hadi mwisho?
Unataka kila mtu awe mhasibu? Nani atatibu wagonjwa?Kwa akili yako zile nyimbo zote alizotoa roma unaweza kuedit verses? Na kama huwezi bas tuwekee link yako ya youtube tuanze kusikiliza za kwako
Hao wanaotukana ndio washabiki wa Roma, ndio maana nasema roma ni msanii wa hovyoKuna watu wanachafua huu uzi kwa kutoa matusi sisi wasoma comment mnatunyima utamu
kuna ambao walisema hata CCM ikiweka jiwe kwenye uchaguzi litachaguliwa.........Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.
Hizi nyimbo za roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Hao waliosema hivyo unahisi wana akili tofauti na Roma? Alafu hiyo mifano huwa ni ya kitotokuna ambao walisema hata CCM ikiweka jiwe kwenye uchaguzi litachaguliwa....
Hakuona ni shida hapo?
Wewe ndo msanii wa hovyo uliobebwa na ajenda za kutetea wanawakeHuwa najiuliza kuna mtu anapenda muziki anaofanya roma? Sijawahi kumuelewa hata siku moja, nyimbo zake nyingi huwa ni kama risala, Hakuna flow nzuri, mistari migumu meusi wala melodies za kueleweka.
Roma mara kadhaa amekua akitumia beef na wasanii wengine kama kiki kwake, lakini wasanii wengi wamekua wakimpuuza.
Media zimekua zikimpa sana attention lakini hamna kitu, Kuna wasanii wengi wazuri sana wenye flow nzuri na mistari migumu kabisa ya hiphop hawapati attention
Roma anasema ikiwekwa ccm na andazi anachagua andazi. Hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kuimba kitu Kama hiki? How andazi linaweza kuwekwa kwenye ballot paper? Huwa naona hii mifano inatolewa na Watoto au watu wazima wenye utoto, ni kama zamani tulipokua watoto tunatembea tunatoleana mifano ikitokea likadondoka kontena la hela hapa tunagawana vipi.
Hizi nyimbo za roma ni ngumu sana kudumu, ni nyimbo ambazo ukisikiliza Leo kesho hutamani tena kusikiliza.
View attachment 2593145
Hapo umedanganyaNyimbo 10 za Roma zinalingana na Career nzima ya FidQ.
Hivi nani alimpa ufalme wa hiphop
Dar mkuuHiyo nyekundu yenye vidoti. Nikuletee wapi?
Huwezi amini sijaelewa ulichoandika, hata wewe mwenyewe sidhani kama umeelewa
Mnafanana akiliYani katika wasanii wote bongo Roma ni my favorite artist….[emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253]