Roma, Wakazi na Linex ni mfano wa watu waliopishana na vipaji vyao!

Roma, Wakazi na Linex ni mfano wa watu waliopishana na vipaji vyao!

Chukua hii toka kwangu "Mziki ni bidhaa ukiona wewe haikufai/haifai basi kuna watu inawafaa, fashion ngapi zinatoka na wewe hujapenda kununua?,au vingapi vimetoka pia wewe umependa na ukaamua kununua mfano hiyo simu yako hapo.

Ila Asante Kwa ujumbe wako watapita hapa na wataona kama itawafaa watakujibu ila binafsi nimekupa kutoka kwangu.

Kuna watu baadhi hawalielewi hili

Kwenye mafanikio ya muziki na industries zingine. Unatakiwa kuwa na talent lakini pia uwe na ujuzi na maarifa ya kibiashara ili kupata commercial success

Hili ni moja kwa case ya linex lakini kingine kuna baadhi ya wasanii huwa hawawezi fit na aina ya muziki unaovuma kwa kipindi flani mfano Neyo alikuwa musical genius wa RnB Ila baana ya, aina hiyo kubadilika lakini pia kupungua influence na neyo pia akapotea kwa kushindwa switch kwa muziki mpya

Hili nalo linamsumbua linex, kwa sauti na lyrics zake ni ngumu kufit na new generation, angebadili Tu target zake kutoka mainstream kwenda kwenye niche zile za watu wanaojua muziki mzuri kama anavyofanya damian soul au grace matata
 
Dah.. hivi Mkuu unajua mziki vizuri kweli? Huyo Wakazi sijawahi kumfuatilia, hata ukiniuliza kaimba wimbo gani sijui kwakweli, ila kwa hao wawili uliowataja.. hao ni Wanamziki parceee... sio wasanii, ni MUSICIAN...
Bingo, exactly my thoughts as well.
 
Linex ni kichwa kwenye utunzi na sauti yake ipo natural and soulful, habani pua na pia ni aina ya waimbaji ambao wana uwezo wa kuongea na hisia za mtu kiasi kwamba hata akiamua kuimba gospel atatoboa

Kuna soundtrack ya Juakali series inaitwa Kaa nami, ni wimbo uliopo katika tenzi za roho. Ukiacha undisputed version ya Angela chibalonza, ya Linex inafuatia kwa maoni yangu
Sunday ni Vocallist wa kiwango cha juu mno,mno!
 
Roma ana kipaji? Wakazi ana kipaji?
Kidogo linex, lakini nae ana sauti ya bangi tu
 
Na huyu je?[emoji116]
jamiiforums1267461471_387x387-jpg.2572374
Dah,yaan nmecheka km kchaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwako wewe mafanikio yanakuwa equated na nini Pesa ?

Yaani unajua katika dunia hii ni asilimia ngapi wanajaribu hata wazazi wao tu hawasikilizi wanachofanya au hata watoa kazi bure kama zawadi watu wanazitupa alafu unakuja hapa unasema mtu ambaye ameweza kusikilizwa na watu hadi wewe kumjua na kumjadili kwamba anachofanya hakina vigezo ?!!!!

Kweli !!!?? Unaweza ukafanya comparison na mwingine unaweza ukawa critic kwamba unacholishwa hakikupendezi ila kumwambia mwingine anachofanya anapotea na akiache wakati uki-compare na wengine amefika mbali unakuwa unapotoka to say the least.... Ningekuelewa kama ungesema wakiweza kwenda juu zaidi kwa kutengeneza vizuri zaidi (Unfulfilled Potential) ila wafanye hivyo kwa faida ya nani ? Mwisho wa siku mtu ni kufanya kila anachopenda na sio kuwa slave wa circumstances au kufanya kitu ili kufurahisha jamii....
 
Sijui kuhusu hao wengine ila Linex naona hastahili kuwa hapo. Sauti yake ile naipenda sana
 
Back
Top Bottom