Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Tanzania tumebarikiwa sana. Yaani unasoma maelezo ya mleta Mada, ghafla tu unajikuta uko mwisho wa maelezo...ukipanda juu kuona ulipoanzia....unajikuta umesoma maneno zaidi ya 1200 kwa speed kali bila kuchoka.
====
Mkuu, mleta mada Asante sana.
Hii yote ni juhudi na Kazi kubwa inayofanywa na Serikali yetu mkuu..pongezi sana kwa Viongozi wetu.
 
Asante sana ndugu yangu... oligarch TUJITEGEMEE
Tanzania tumebarikiwa sana. Yaani unasoma maelezo ya mleta Mada, ghafla tu unajikuta uko mwisho wa maelezo...ukipanda juu kuona ulipoanzia....unajikuta umesoma maneno zaidi ya 1200 kwa speed kali bila kuchoka.
====
Mkuu, mleta mada Asante sana.
 
Consider it done oligarch
Mkuu, Kazi nzuri sana unafanya. Ushauri: kwa uzi huu, naomba utumie ile staili ya kipindi kile cha "vipepeo weusi.." link ya kila epsode uweke post ya kwanza. Maana kwa staili wakati mwingine tags zinakuwahazifanyi kazi, binafsi nalazimika kutafuta epsode inayofuata kutoka kila ukurasa wa uzi.
 
mzee baba naomba unitag next time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…