Ndio huyuHivi mkuu, wewe ndio uliye andika story kumhusu Raisi wa nchi ya Rwanda Mh. Paul Kagame na kusomwa na Dulla Planet mnamo mwezi wa tano mwishoni au wa sita mwanzoni kwenye radio station?
Du, yupo vizuri. Afanye mpango tuipate hapa JFNdio huyu
Du, yupo vizuri. Afanye mpango tuipate hapa JF
Sina uhakika sana sababu sikuifuatilia vizuri kwa kuwa ilikuwa ikiruka hewani mida ya asubuhi kwenye saa 1 hadi 2 hiviSio hii hapa??..ila haikufika mwisho....huyu mkuu ni noma boss
The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake
The Richest Man in Africa: Kila utajiri una ukafiri nyuma yake Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu kina kurasa 442 na ndani yake kuna makala 17. Bei ya kitabu hiki ni Tsh 50,000/- Pia waweza kupata kitabu changu cha "OPARESHENI ZA...www.jamiiforums.com
Kama ni chai unasoma ya nn?kunguru woweeeChai
Sehemu ya NNE na tank zipo post namba ngapi? Nisaidieni jamani
Daah...unawahi siti ya mbele kuliko hata mwandishi mwenyeweNGOJA NIKAE SAWA NIUPITIE VIZURI....
MKUU USISAHAU KUUWEKA YOUTUBE