Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Du, yupo vizuri. Afanye mpango tuipate hapa JF


Sio hii hapa??..ila haikufika mwisho....huyu mkuu ni noma boss

 
Sio hii hapa??..ila haikufika mwisho....huyu mkuu ni noma boss

Sina uhakika sana sababu sikuifuatilia vizuri kwa kuwa ilikuwa ikiruka hewani mida ya asubuhi kwenye saa 1 hadi 2 hivi
 
The bold kaka upo wapi? tuna shauku huku tupe update ya sehemu ya tano mkuu
 
Sehemu ya NNE na tank zipo post namba ngapi? Nisaidieni jamani
 
SEHEMU YA TANO:

Yuri Skuratov aliporejeshwa kazini na bunge kiburi kikamjaa zaidi… akaitisha mkutano mwingine na wanahabari na kuwaeleza kuwa ana ushahidi wa kutosha dhidi ya Roman Abramovich na Berezovsky na anakusudia kuwafungulia mashtaka ya kuhujumu uchumi. Watu wa system walifurahi kweli kweli wakijua huo ndio mwisho wa Abramovich… kama wangelijua kipindi kile Abramovich ni mtu wa namna gani wasingelithubutu kumtikisa. Walikuwa wanapima kina cha bahari kwa goti la mguu…
.
.
.
.
Naisubiri kwa Hamu.
 
Back
Top Bottom