Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Salute kwako Habib k Anga kwa kazi nzuri iliyotukuka , we ni mgodi unaotembea sema wajinga wanashindwa kuelewa .. NAOMBA UNITAGI SEHEMU ZINAZOFUATA MKUU
 
Itakuwa abramovich kasoma huu uzi na kumpiga jamaa bit asiendelee
 
mkuu vip mbona hamna upudate nitaga bas maana kila time nacheki tu.nikikufollow nione post zako.nakutana na siluhusiwi
 
Noma sana!
 
Mkuu,uko vzr sana!
 
Naona
Naona nyao za Yericko . ni mwendo wa c&p ideas
 
Kama ni Rahisi nawe c&p tuone.
Baadaye uanze kuuza kitabu. Buni wazo jingine mkuu. Hii idea imeshaandikiwa kitabu.
Mbona kuna mawazo kibao unaweza toka nayo kimaisha.
Ujasusi unayajua mengi hapa EAC mbona ndege imekamatwa hukutoa taarifa hapa jukwaani before.
Ulikuwa mwanafunzi wa NASa, KGB ama M16 na MOSSAD mkuu.pia wenye kujua huwa wanaonyesha vitendo. Umeshawahi muona AZAM inakaa kijiweni anasoma kuwa ana Hela Bali wenye wasio na kitu ndo tunatumia uwezo wa Maneno kuaminisha umma kuwa tuna Hela.
 
Oligarch Habibu B. Anga aka The Bold, heshima sana kwako, na shukrani kwa uzi huu maridhawa. Kwenye huu uzi umegusia baadhi ya watu ambao kwa sehemu nimewasoma na kujifunza kuwahusu.

Ila hapo mbeleni ukiijaliwa nafasi na uzima, ningependa kujua 'zaidi' sana kuhusu wao. J
ared Kushner, Donald Trump, Valdimir Putin, John Magufuli na Reginald Mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…