Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Njoo ww Habibu B. Anga {kwasauti ya Mpoto msiban} Njooo
 
Next time kama huna story inayoisha, basi usiianzishe... Sio mara ya kwanza kufanya hivi. Unajishushia heshima
 
Pamoja na kwamba wapo baadhi ya wachangiaji wanaokatisha tamaa katika replies zao, lakini huku pia ni kujishushia heshima kuanzisha simulizi then unapotea mazima, si uungwana hata kidogo labda kama unafanya makusudi ili watu waifuate hiyo namba unayoiweka mwishoni kwa simulizi na yenyewe kiutuuzima si sahihi.
 
Pamoja na kwamba wapo baadhi ya wachangiaji wanaokatisha tamaa katika replies zao, lakini huku pia ni kujishushia heshima kuanzisha simulizi then unapotea mazima, si uungwana hata kidogo labda kama unafanya makusudi ili watu waifuate hiyo namba unayoiweka mwishoni kwa simulizi na yenyewe kiutuuzima si sahihi.

Nyie acheni zenu, Mtu kaweka chapter kuanzia ya kwanza mpaka ya nane, mnataka aendeleee, sasa mnataka aendelee mpaka wapi, au mpaka Putin afe, Abramovich afe halafu amalizie URUSI IKAISHI RAHA MUSTAREHE hapo ndo mtaridhika kuwa kaeleza yote mnayoyataka?

Hata Movie huwa ni lisaa moja na nusu mpaka mawili, Hii Stori ukichukua chapter zote nane ukaziandikia Script ni movie kamili ya masaa mawili sasa mnataka series zisizoisha kama za Kihindi?

Story maana yake unachagua portion ya event katika maisha ya watu unaielezea, Sasa msiwe addicted kama watoto wadogo wanaotaka Real events ziwe kama fiction.

Hapa alipoifikisha inatosha maana kaeleza kila kitu namna Abaromich alivyopata uatajiri na kuwa King Maker, kamuingiza Putin madarakani basi sasa mnataka nini tena, mnataka aeleze alivyoinunua Chelsea?.

Acheni zenu
 
Kuingia kwa Abramovich kwenye sekta hii kutakuja kuibua moja ya nyakati za hatari zaidi kuwahi kushuhudiwa nchini Russia na Ulaya mashsriki yote kiasi kwamba mpaka leo hii kipindi hicho kinajulikana kama nyakati za ‘Vita za Aluminum’.



Tutajadili…




Kuhusu ishu ya Vitabu...



Noana kuna jambo nasisitizwa sana, VITABU.

Niliwahi kutangaza kutoa kitabu lakini sijawapa tena update yeyote.
Kweli hii ilihitimisha series...!!! Wasomaji hatukuwa makini, tusamehewe.
 
Sehemu ya historia ya jamaa akiwa mfanya biashara ya sigara sijaiona.
 
Sawa mkuu japo muvi ilikuwa inaonyesha bado inaendelea.
Nyie acheni zenu, Mtu kaweka chapter kuanzia ya kwanza mpaka ya nane, mnataka aendeleee, sasa mnataka aendelee mpaka wapi, au mpaka Putin afe, Abramovich afe halafu amalizie URUSI IKAISHI RAHA MUSTAREHE hapo ndo mtaridhika kuwa kaeleza yote mnayoyataka?

Hata Movie huwa ni lisaa moja na nusu mpaka mawili, Hii Stori ukichukua chapter zote nane ukaziandikia Script ni movie kamili ya masaa mawili sasa mnataka series zisizoisha kama za Kihindi?

Story maana yake unachagua portion ya event katika maisha ya watu unaielezea, Sasa msiwe addicted kama watoto wadogo wanaotaka Real events ziwe kama fiction.

Hapa alipoifikisha inatosha maana kaeleza kila kitu namna Abaromich alivyopata uatajiri na kuwa King Maker, kamuingiza Putin madarakani basi sasa mnataka nini tena, mnataka aeleze alivyoinunua Chelsea?.

Acheni zenu
 
Pamoja na kwamba wapo baadhi ya wachangiaji wanaokatisha tamaa katika replies zao, lakini huku pia ni kujishushia heshima kuanzisha simulizi then unapotea mazima, si uungwana hata kidogo labda kama unafanya makusudi ili watu waifuate hiyo namba unayoiweka mwishoni kwa simulizi na yenyewe kiutuuzima si sahihi.
utachakaa sana Huyu ndio The Bold hii stori ataleta baada ya mwezi akiwa anatoa toa zote tunawajua wabongo mtamchoka mapema sana halafu mtakuja kumwona mpuuzi bora aendelee hivi hivi maana wabongo mkishajua kitu mnaleta dharau sasa The bold anawakomesha taratibu mpaka mkae sawa anajua kucheza na Mindset zenyu vizuri sana TUKOMESHE BABA
 
Binafsi nikupongeze mkuu, simulizi zako hua zinanifanya nibrainstorm vitu vingi, siwezi hoji jinsi unavyopata access ya such 'sensitive information' maana hilo halinihusu kikubwa naomba usiwe unatoweka kiivyo kama babu wa loliondo, madini yako yanahitajika sana humu jukwaa la intelejensia sio mtu analeta simulizi za hawafu mwenye nguvu. By the way ungetuangushia link ya whatpp grupu lako ili kujiunga iwe just one click away
 
Nyie acheni zenu, Mtu kaweka chapter kuanzia ya kwanza mpaka ya nane, mnataka aendeleee, sasa mnataka aendelee mpaka wapi, au mpaka Putin afe, Abramovich afe halafu amalizie URUSI IKAISHI RAHA MUSTAREHE hapo ndo mtaridhika kuwa kaeleza yote mnayoyataka?

Hata Movie huwa ni lisaa moja na nusu mpaka mawili, Hii Stori ukichukua chapter zote nane ukaziandikia Script ni movie kamili ya masaa mawili sasa mnataka series zisizoisha kama za Kihindi?

Story maana yake unachagua portion ya event katika maisha ya watu unaielezea, Sasa msiwe addicted kama watoto wadogo wanaotaka Real events ziwe kama fiction.

Hapa alipoifikisha inatosha maana kaeleza kila kitu namna Abaromich alivyopata uatajiri na kuwa King Maker, kamuingiza Putin madarakani basi sasa mnataka nini tena, mnataka aeleze alivyoinunua Chelsea?.

Acheni zenu
Okay, tatizo hakuna sehemu imeonyesha kwamba Mr. A alitumia Risasi au kumwaga damu ili kufikia ukwasi aliokuwa nao kama kichwa cha habari kilivyelenga kuelezea.

Kwa hiyo story haijakamilika.
 
Baadaye uanze kuuza kitabu. Buni wazo jingine mkuu. Hii idea imeshaandikiwa kitabu.
Mbona kuna mawazo kibao unaweza toka nayo kimaisha.
Ujasusi unayajua mengi hapa EAC mbona ndege imekamatwa hukutoa taarifa hapa jukwaani before.
Ulikuwa mwanafunzi wa NASa, KGB ama M16 na MOSSAD mkuu.pia wenye kujua huwa wanaonyesha vitendo. Umeshawahi muona AZAM inakaa kijiweni anasoma kuwa ana Hela Bali wenye wasio na kitu ndo tunatumia uwezo wa Maneno kuaminisha umma kuwa tuna Hela.
Mimi Binafsi nimemshangaa bwana Hanga kuanza kuelezea namna alivyo na access na sources of intelligence hapa east africa.

Nilidhani makala zake zinatosha kutufanya tuamini access aliyonayo kwa mambo hayo, ama sivyo hana sasa anataka kuwablind watu wasitumie access ya taarifa kama hizi zinazopatikana kwenye internet bwerere kujipatia kipato kama afanyavyo yeye.
 
Alafu kuna walakini kwenye baadhi ya maelezo, kwa mfano kuhusu ununuzi wa Sibneft, sio kweli kwamba Berezovsky alitoa pesa zooote bila Abrahimovic kuweka chochote achilia mbali kwamba serikali ya russia iliweka utaratibu wa kuwakopesha wanunuzi wa makampuni yake.

Sio sahihi sana kuelezea kwamba hata kama hakupewa madaraka ya kisiasa na Boris, Bado Abrahimovic alikuwa na interest za kisiasa na amewahi kuwa Governor wa jimbo moja nchini humo mwanzoni mwa miaka ya 2000.

sasa kuacha hii kunaweza sababisha watu kudhani unaweza kuwa bilionea huku umejiweka mbali na siasa,wakati mwingine unahitaji locus ya kisiasa ili ujisafishe
 
Aisee ninajufunza na kuhamasika sana na hizi makala. Muajiri anisamehe kumuibia muda na rasilimali zake..... Sehemu ya 08 kama imeishia njiani hivi
 
Binafsi nikupongeze mkuu, simulizi zako hua zinanifanya nibrainstorm vitu vingi, siwezi hoji jinsi unavyopata access ya such 'sensitive information' maana hilo halinihusu kikubwa naomba usiwe unatoweka kiivyo kama babu wa loliondo, madini yako yanahitajika sana humu jukwaa la intelejensia sio mtu analeta simulizi za hawafu mwenye nguvu. By the way ungetuangushia link ya whatpp grupu lako ili kujiunga iwe just one click away
link unadhani inatolewa bure acha kupenda mteremko 😀😀😀😀
 
atakus hizi.story anasimuliwa na mzee wa mia90 itapendeza maana masaa anapost ndio mze wa 900 yupo kwa.mama muuza gongo
 
Back
Top Bottom