Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Hata kama wanakushutumu, kuwa unacopy kutok google, ukweli kwamba you are talented. Upangiliwaji wa stori upo makini sana na umeenda ndani sana. AsanteTHE BOLD
 
Mheshimiwa The bold naomba unitagi kwenye mtliliko wako
 
Hii maada kwangu haifunguki naomba bas muiquote sehem ya kwanza ili niisome
 
nimerudi chief, naomba unikumbuke pia kwa tags kwenye makala zako.

karibu tena.
 
The bold ulisema hii utaimalizia tofauti na zile mbili zilizopita,au nilikuelewa vibaya mkuu?
 
Nikawa najiuliza tangulini mswahili akawa na utaratibu wa kuzingu JF wanatoa HABARI kwa bure kwa kushirikiana na wanachama wake Sasa hii taratibu ya mtu kujifanya mwema anajali wengine atatoa habar bure Mara kabanwa Mara Kule wasap story ilishaisha huku Mara jf hawataki niweke matangazo ya kuuza story.

Sasa Kama haujiuzi kiuandishi kwann haumaliz stori zako? Mbona unakomalia mchango?

Hapa n jukwaa huru unaweza post au usipost haulazimishwi ila hz Mambo za itaendelea mnasumbua watu akilizao.

Hili n jukwaa huru mzee hzo Mambo za wasap uache njoo na uz unauza Hadith utapata wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…