Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia


Mkuu Oligarch naomba kuwa tagged as well. I will appreciate. Nafurahia sana hili simulizi. Najifunza mengi sana
 
Mkuu Oligarch naomba kuwa tagged as well. I will appreciate. Nafurahia sana hili simulizi. Najifunza mengi sana


Chonde chonde...husijifunze kusaka UTAJIRI KWA DAMU, RISASI NA UMAFIA
 
Kama unayosema ni ya kweli...Huu sasa utakuwa utapeli...why awalipishe watu bila kuwapa huduma...ni bora aandike story zake mpaka mwisho then aziuze kama vitabu hardcopy
Hawezi kuviweka kwenye kitabu haya.
Maana ni maandiko ya wengine
 
Wanaokutukana watalaaniwa na Mimi, sitaki na hili tumwachie mungu
 
Kuna vi mtu vinakuja na sera uchwara oooh mara anayatoa mtandaoni mara watu wavivu wa kujisomea, we unahisi kufukunyua habar na kuziunganisha zikaleta radha ni kazi ndogo? Shwain kasomen nanyie mtuletee kama mnaweza .....manna. Big up King of articles in JF "Bold"
 
sielewi chochote zaidi ya kuona majina magumu magumu ya Urusi, hatari sana
 
2008 BADO UKO HIGH SCHOOL, basi ww ni kijana mdogo na unafanya kazi nzuri katika uandishi, ila nakushauri swala moja. Kama umeamua kutoa stori kwa watu ili wajifunze humu ndani jitaidi tu uikamilishe isije ishia njiani.

Pia ili umakini wako usitie shaka weka siku moja ya kudondosha episode za stori hii hata kama ni kila baada ya siku 7, 14 ama hata mara moja kwa mwezi litakuwa limekupa credit kubwa mnoo zaidi ya hivi kwenda zigzag.

Lakini pia kazi ya uandishi ni ngumu kama stori zako unaamua zisipatikane for free mwanzo wa story zako toa taarifa utaratibu wa kuipata story husika ili wenye nia ya kuipata waweze ipata kwa utaratibu wako kuliko kuanza ikifika kati ndo unaaanzisha inshu hizo.

Baada ya kuanza kusoma hii story nikaamua kusoma na story zingine ulizoandika ni nzuri na zenye mafunzo kwa wenye kutaka kujifunza ila nimegundua huwatendei haki wasomaji wako kwani kuna baadhi nimeona zimeishia kati.

ALL IN ALL unafanya kazi nzuri tena sana. Ni ushauri tu unaweza ufanyia kazi ama la.
 
Jitahidi uandike hadithi zako na uzimalize badala ya kutoa Vipande Vipande.
Pia unapoandika hadithi punguza tabia ya kuingiza mifano Yenye maelezo marefu yasiyo na ulazima.
 
Naomba namba ya kujiunga ya watsap
 
Kaka mkubwa The Bold kama sijakosea wakati unaanza kuitoa hii story hapa ulituahidi kwamba hii story itaisha pia ulituambia kwamba kwenye group lako la wasap imeshaisha sasa kama ni hivyo kwanin usitubwagie mzigo wote hapa sisi tupambane nao kuliko kuwa unatuletea vipande then unapotea kama story unayo yote wew tuwekee tusome au kama unataka tuilipie pia utuambie. Samahani kama ntakukwaza
 
Shukrani mkuu.

Nimekuelewa vyema. Nitazingatia..
 
Hahahah... dah imebidi nicheke tu.
Haya kaka mkubwa uwe na amani.
Jitahidi uandike hadithi zako na uzimalize badala ya kutoa Vipande Vipande.
Pia unapoandika hadithi punguza tabia ya kuingiza mifano Yenye maelezo marefu yasiyo na ulazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…