Roman Abramovich: Utajiri wa Damu, Risasi na Umafia

Stori itaisha chief... mimi ni mtu wa kusimamia neno langu.
Hivi mpaka tumefika sehemu ya kumi bado kuna mtu anadhani tunaishia njiani??? Smh

Yani tumeanza sehemu ya 1, 2, 3, 4, 5....... 10
Bado kuna mtu ana mashaka. C'mon
 
Asante sana mkuu..
 
Mkuu epuka uongo. umesema unawapa neno moja wanaokutukana, lakini umewapa maneno kumi na moja. Huoni kama umedanganya mara kumi zaidi. Punguza uongo kidogo Itakusaidia
 
kazi ya uandishi jamen si nyepesi nyepesi ka kusoma unaweza soma Gazeti kwa nusu saa story ambazo zieandaliwa kwa masaa mengi pamoja na mlolongo wa uhariri tuwe na tabia ya kujiuliza muda anaotumia kuandika Simulizi hizo na kuzitafuta kuzichambua anaupata wapi

pia ye Kabuni wazo la kumpatia kipato cha ziada we niuamuzi wako kukaa na stress zako ukamalize unakojua au baki na debe tupu ukapige kelele uko.

nawe buni chako just unaweza mfanyia exploitaions ukalipia wewe 5000 ukaenda bandika kwa blog yako kwa stail hiyo hiyo uvutie users kuja kila siku ukarudisha pesa yako with extra coins

internet ni soko unaloweza uza nothing na hakuna lawama buy or not buy its belong to your pocket or rocket your heart
 
Unashauri wizi?
 
Unashauri wizi?
According to the story,maoligach walununua vocha, na kuwezesha kumiliki viwanda na makampuni. kwajili la putin tumia ubepari kutajirika sawa, nao watumie njia hiyo ya kumpa bold 5000, wakatengeneze pesa zaidi.just a bussiness.
 
Ikichelewa kuwekwa mpaka nasahau wahusika

Kama yule Patarshkovu sijui wa magenge

Nilishamsahau
 
Mkuu the bold mm naomba nikupe ushauri wa kibiashara

Kwa kuwa sometime kuitoa buku tano ni ngumu na wengine hawapendi magroup mengi ya watsap bas jaribu kuuza story moja moja

Mfano kama hii ulipo fikia sehemu ya tano ungeweza kutangaza anaeitaka yote atume hata 1000 au 500 atumiwe watsap mmalizane moja kwa moja


Nitashukuru ukisoma hapa na kujibu pia kama itawezekana
 
Kwa msisitizo m hapa nina 1000πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila hio buku tano sina na nina tamani hii story hadi mwishoπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…