Roman Reigns and Dean Ambrose special thread

Wrestlemania mwaka huu lesnar alipigana na Roman Reigns kugombania WWE World Heavyweight Champion na Reigns alikaribia kushinda kabla ya Seth Rollins aja cash MITB contract na kumpokonya ushindi Reigns
mkuu uko vizuri
unaweza elezea hii kasheshe ya sheamus na romans mizizi yake?
Lakini pia why romans hana timu kubwa ni kwa vile amepiga wengi so hana backup kubwa?
 

Aaah wee bwana weeee,
Brock Lesnar unamlinganisha na Steve Austin kweli? Mbona Brock hamfikii stone cold hata chembe?

Any ways kwakuwa ni maigizo basi tu tunakubali.

Kwa kizazi cha wrestlers wa sasa hakuna mwenye vurugu Kama za Brock lesnar thoe level za stone cold hajafika bado😊😊😊😊
 
Sijacheki muda mrefu wwe naimiss sana
Huyo jamaa na kundi lake la the shield ni noma sana undefeated hakuna tag team yeyote ilishawashida , siku izi wanapigana peke yao ninecheki wrestemania ya mwaka huu hawako tag team masai dada
Natamani kuujua sana huu mchezo
kuna jambo huwa linanitaza
ni rules zake
maana jamaa kuna muda wanamtishia hadi refa na mambo ya namna hyo
hauna kanuni?
 
Last edited by a moderator:
Uyuu jamaa nlimkubali na kumuelewa kiukweli baada ule mpambano na brock lesnar..sheamus cjui kama ana uwezo wa kupambana na jamaa..
Sheamus anapigwa mbona sema lile kundi lake ndo msaada
 
Washabiki wengine huwa hawajui kuwa huu mchezo matokeo huwa yamepangwa...SCRIPTED....na kuna rules mchezaji akienda against anafungiwa.....mshahara wao inategemea nani anauza sura vizuri...POPULAR with fans (sales)...Hii factor iliwafanya wengi kutumia steroids ili kupata shepu muscled kuzidisha mvuto......(hahaha waganga wetu wangeenda huko, btw)

Wengi wao (legends) wamekufa below age 40. kwa magonjwa ya moyo, presha na strokes.....
 
Masai dada natamani ungekua mke wangu. Huo ndo ugonjwa wangu japo huwa napitwa sana. Miaka ya 2007-2010 nilikua sikosi.
Sa iv ninamajukumu.
Unatumia king'amuzi gn na channel gn!
 
Leo Sheamus lazima ale kichapo hata hiyo title ni mbinu chafu za triple h.
 
Na ya wrestler mwenye roho ya paka je?
Mr yess (bryan) or great warrior(sheamus) 😝😝😝😝
duh alafu daniel bryan sijamuona kipindi hichi
Mahali nilimpa taji KO ni siku anapigana na romans
akasema nimeshndwa sitaki tena ugomvi so akawa anampa mkono romans kumbe anamzuga akapata upenyo wa kurusha ngumi mbili tatu
aise alichezea kipondo kutoka kwa romans hakupata muda wa kuvizia
 
nipe ushuhuda maridhawa wa kauli zako
kwa mfano legend msataafu aliyekiri hayo
usinipe link za wikpedia
 
Naamini Reigns atashinda ingawa nna wasiwasi mechi inaweza ikavunjwa na lile kundi jipya linalojiita The League, ila kwa sasa ndani ya WWE sijaona wrestler zaidi ya Roman, na ndie ninayemkubali zaidi kwa saizi.
 
Natamani kuujua sana huu mchezo
kuna jambo huwa linanitaza
ni rules zake
maana jamaa kuna muda wanamtishia hadi refa na mambo ya namna hyo
hauna kanuni?

Kanuni zipo kumtishia refa hamna noma Ila ukimpiga tu game imeharibika inakua
Then kuna rule nyingine mtu mfano akidundwa nje ya ring mwenzake akiingia wakianza kucount ikifika 10 hujarud ndani ya ring unakua umeshindwa
 
Ninampa taji KELVIN OWEN (KO) kwa kuvizia

Namsubiri kwa hamu sana leo atakapopigana na Dean Ambrose for Intercontinental Championship, natamani sana kumuona akishindwa na Dean Ambrose kushinda ubingwa huu.
 
Kanuni zipo kumtishia refa hamna noma Ila ukimpiga tu game imeharibika inakua
Then kuna rule nyingine mtu mfano akidundwa nje ya ring mwenzake akiingia wakianza kucount ikifika 10 hujarud ndani ya ring unakua umeshindwa

Game za hatari ni zile za cage match or ladder match unaweza kuzima kabisa,rules zingine ngumi za direct Kama za kina mayweather haziruhusiwi😝😝😝
Kuingilia game pia hairuhusiwi ikitokea game inakua imeharibika labda except kwa champion wa money in the bank unaruhisiwa unaweka bond MINT 😊😊😊
 
Wale wapenzi wa wwe tukutane hapa haswa wapenzi wa roman reigns na dean ambrose.
Leo ni pambano la Sheamus na reigns.
Mimi ni team reigns.
 

Last time nimemuona dany Bryan ni wrestemania ya mwaka huu alishinda intercontinental champion kwenye ladder match
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…