danford robert
Member
- Nov 27, 2015
- 6
- 0
uwenda ukawa na ukweli maana sisi tunatizama kwenye tv tu hatupo huko jikoni in the making
by the way unazungumziaje swala zima la kuunjika,kuumizwa hadi damu?
Dislocation,watu kulazwa
unakumbuka ray masterio(kama sikosei) match yake ya kwanza kwao aliua?
MKUU HAYO NAYO YANAKUWA SCRIPTED? au ajali kazini?
Haya tuseme ajali kazini unakumbuka block like three weeks ago alimvunja mguu mshenga/jamaa(sikumbuk vyema) wa jamaa aliekua anapigana nae then akamfata hospital akamkunguta tena?
Hvi hayo yote ni MAIGIZO?
Anyways usinikumbushe ya rhondah hahahaha dada mkorofi sana alidai anataka apigane na may weather
kipondo alichoshushiwa that day hakuamini
japo unajua hakuwah kupigawaa? Ile ndo mara yake ya kwanza
natizama kwa miaka kama 10+ iliyopita tangu kina hogan wanastaaafu
Unaweza ukaandikiwa script ingia ukavunjwe shingo?
Kuna vitu vinapangwa kama zile move za hapa na pale lakini sio ndani ya ulingo
unaweza ukawa una ukweli flani lakini sio wote
Huyu jamaa ni kiboko ingawa huwa kuna maigizo huyu jamaa alinifanya niipende sana mieleka hasa mapambano yake, na lili pigo lake la mwisho hatari na anapomaliza kazi hizo pozi ni hatariAnavyoingia hakyanani kama wewe umetangulia kwenye cell unaiona hell kwa mbali
ni movie mkuu.....ulaya ukivunjwa shingo unapata insurance ndefu sana hunahaja ya kurudi ulingoni.......hebu fanya reserch kwa hili....
Jesus! ten years haukujua kuwa wanapanga matokeo......sio kweli aisee.....Ila siku laumu.....naamini tunapishana katika sports observation....
Pia ingia youtube uwasikilize......mchezo ni mzuri by the way....
Kwa wapenzi wa miereka huyu jamaa hafananishwi
Refer Hell in the cell alivyo garagaza vigogo wa WWE mpaka kina KO
Kumbe jamaa wanatamani sana title yake kina shemus na kundi la New day,
Twende moja kwa moja kwenye kundi alilounda triple H likawa na shemus na rusev na kina del rio
Hakyanani jamaa kagaragaza wote na ni wapganaji wa kutegemewa
Kwa kweli nimefurahi sana
Huyu jamaa natamani kuijua historia yake
Kwa mechi ya leo kwa kweli mi namtakia kila la heri
Amkungute vizuri sheamus
mxyo16 kama unawekewa script unjunjwe mpaka ubebwe na ambulance?
my dear ndo kilichotokea jana the league team waliingilia ila triple H alipewa kipondo kilichopelekea aondolewe na ambulanceNililigundua hili wakati John Cena na Randy Orton wakiwa kwenye peak ya mafanikio!! Niliwafatilia kwa ukaribu sana nikagundua baadhi ya vitu ni kama vinapangwa au viini macho kwa faida ya kampuni!!
Pia wakati wa Batista akiwa na bifu zito dhidi ya Triple H, walichezeshwa kimipango sana!! All in all bifu la marehemu Umaga na Bobby Lashley ndiyo WWE waliingiza sana hela, nimeanza kuujua kitambo sana tangu enzi tunaangalia ile KBC wanapanda kwenye kamba hahahahaaaaa
WWE niwazuri sana kwenye biashara yao mkuu.....naamini pia huwa unatazama vipindi vya michezo au taarifa za habari, kama vile supersports sky cctv sidhani kama ulishaona wakiongelea hawa WWE superstars kwamba wameumia kama vile wanavyoumia kina mesi....
Kila nikikumbuka kua haya ni maigizo tu, hua nakata tamaa kuangalia mieleka,
All in all haya mambo ni kwa burudani
Kila nikikumbuka kua haya ni maigizo tu, hua nakata tamaa kuangalia mieleka,
Uyuu jamaa nlimkubali na kumuelewa kiukweli baada ule mpambano na brock lesnar..sheamus cjui kama ana uwezo wa kupambana na jamaa..