Roman Reigns and Dean Ambrose special thread

@Moderators mbona sioni kitufe cha like wakati na-receive like siku zote?
 
nimecheki pambano moja jana hawa roman reigns na dean ambrose ni hatari
 

Dada Masai mimi pia nafatilia sana na mpaka nilibahatika siku moja kwenda kuwaona live hawa jamaa..
Zamani nilikuwa Kama wewe naamini ukweli mtu.. Badae kuja kusoma Kumbe huwa wanaandikiwa script.

Ila script zao zinaendana Kama series ukiwa unafatilia unaweza kufikiria ukweli. They way wanavyopanga inakuwa Entertainment ambayo inaendana na ukweli.
 
Halafu pia mfano Kama mtu anataka kucheza movie au kupumzika Kama anashikilia mkanda basi lazima atapigwa... Rejea mfano John cena alivyokuwa na mkanda wa USA champion,plan alikuwa na kipindi Kwneye TV cha kurecod Kama 4 weeks akaja kupigwa na Albert Derio.
Ila this week amerudi.

..Vince Macman anaanza kutengeneza wrestle mania itakavyokuwa ambapo nextweek atakuwa yeye special Refarii kati ya Roman reigns vs Sheamus.
 
Yule mzee anatia hasira sn
 
kumbe ata na binam yake the Rock alikumbuna na huyu mzee pamoja na bint yake….
 

Attachments

  • 1451719435157.jpg
    49.9 KB · Views: 67
Walichomfanyia jana Roman Reigns wale league nation co poa kabsa
 
nyie semeni yoooote mie jitu ninalolikubali bana ni Mzee Mcmahon.
balaa lake linaanzia mlangoni linapotoka
 
jukwaaa lilifaa kuitwa la mieleka lakin co la hawa watoto wa juzi wakina ambrose na roman...
 
hivi uliona juzi triple alivyobondeka,roman reign hatari sana huyu kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…