kaka huyu angekuwa ni mwanaume ningekupa taarifa lakini kwasababu ni ke ngoja nipass hili swali kwa babu Asprin
Niko mpweke humu jamani. Nahitaji mtu wa kunichangamsha, mwenye kujua mapenzi hasa muda wote niwe na furaha. Pleeease!!!
Naaam!Vigezo vyote ninavyo Bantu lady,,karibu,tupite vilima na mabonde yaliyojaa chemichemi na maua mazuri ya kila aina
Cc. Asprin
Huyo bado. Waambie vijana wasiingie choo cha kike. Afu mstue huya Bantu lady a kam zis wei chapchap sana. Mwambie aje without kabisa ili tusipoteze muda.
binamu kamata fursa twenzetu
Ni pm ili tujadili kuona jinsi mstakabali wetu utakavyo kuwa.
dada binamu fursa zingine nazo sio....!binamu kamata fursa twenzetu
HAHAHAA si alikuwa anatafuta wa kutoka nae Valentine
kitu hiko kimejileta chenyeweeeeeeee
Ni pm ili tujadili kuona jinsi mstakabali wetu utakavyo kuwa.
dada binamu fursa zingine nazo sio....!
dada binamu fursa zingine nazo sio....!
Usinifanyie hivyo babu. Nimekuja haraka sana.
Huyo bado. Waambie vijana wasiingie choo cha kike. Afu mstue huya Bantu lady a kam zis wei chapchap sana. Mwambie aje without kabisa ili tusipoteze muda.
Orayt, we utakuwa wangu. Toop. Twende PM chapchap sana.
Thread closed.
Orayt, we utakuwa wangu. Toop. Twende PM chapchap sana.
Thread closed.
Nasikia kuitwa...
halafu wee, nitakumind ujue..!
sijui tukubadilishe jina?
Haya ma men changamkieni fursa