BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Sina uhakikaMia wanatoa kiwandani??
Migongo ya bati la Romantile imekaa kama mlima hivyo hata ikitokea misumari imelegea kutokana na bati kupigwa sana na upepo, maji yatakayokuwa yanavujia ndani ni kidogo sana ukilinganisha na hiyo aina nyingine kwa sababu kwenye bati la romantile maji hayatoweza kutembea kwenye ncha ya huo mlima badala yake maji yatakuwa yanarushwa kwenye hiyo mifereji (troughs) ya bati na ndio mana inashauriwa nyumba za kuficha bati (contemporary) zitumike bati za migongo midogo (corrugated iron sheets)
Kwa hio kws ushauri wa kitalaam, romantile ni nzuri zaidi kuliko bati zote.Migongo ya bati la Romantile imekaa kama mlima hivyo hata ikitokea misumari imelegea kutokana na bati kupigwa sana na upepo, maji yatakayokuwa yanavujia ndani ni kidogo sana ukilinganisha na hiyo aina nyingine kwa sababu kwenye bati la romantile maji hayatoweza kutembea kwenye ncha ya huo mlima badala yake maji yatakuwa yanarushwa kwenye hiyo mifereji (troughs) ya bati na ndio mana inashauriwa nyumba za kuficha bati (contemporary) zitumike bati za migongo midogo (corrugated iron sheets)
Inauzwaje?
Ahsante mtaaalam. Naomba bei sio za kitoto kweliView attachment 2576437
IZO BEI NI KWA MITA
Kwa hio kws ushauri wa kitalaam, romantile ni nzuri zaidi kuliko bati zote.
Ipi ile ya screw boltRomantile ina tabia ya kubonyea ikigongwa misumari ya kawaida,kama unaweka romantile ipo misumari yake special,hii nayo ni changamoto kwa upande wa romantile
Screw bolt huwa zinatumika kwenye kufunga trusses, hapo inatumika misumari yenye rubber, huwa inauzwa kwa pkt tofauti na hii mingine yenye kofia lakini haina rubberIpi ile ya screw bolt
ALAF hata ukiwa na milioni 2 unanunua bati na unazichukulia hapo hapo kwao.Yaa, ni sahihi ni zaidi ya 70 mita 3. Ukiweka hiyo heshima sn na mtaani sio wengi wanaoweka hizi bati. Unaweza kujikuta mtaa wako ni wewe peke yako ndiyo unazo tu. Ukifuata kiwandani uhakika wakupata orijino ni 99.99%, ukichukuwa kwa mawakala hasa wasio waaminifu kupata feki au kuchanganyiwa feki na original ni 50/50. Tatizo kiwandani km Alaf wanaruhusu km unachukuwa mzigo wa maana sio kwenda na million 3/5 hapo watakwambia uende kwa mawakala wao. Na huko ndo utapgwa na kitu kizito kichwani.
Hongera boss.ALAF hata ukiwa na milioni 2 unanunua bati na unazichukulia hapo hapo kwao.
Nimeahanunua hapo bati mara 2 na muda si mrefu ntaenda mara ya 3
Yaa, ni sahihi ni zaidi ya 70 mita 3. Ukiweka hiyo heshima sn na mtaani sio wengi wanaoweka hizi bati. Unaweza kujikuta mtaa wako ni wewe peke yako ndiyo unazo tu. Ukifuata kiwandani uhakika wakupata orijino ni 99.99%, ukichukuwa kwa mawakala hasa wasio waaminifu kupata feki au kuchanganyiwa feki na original ni 50/50. Tatizo kiwandani km Alaf wanaruhusu km unachukuwa mzigo wa maana sio kwenda na million 3/5 hapo watakwambia uende kwa mawakala wao. Na huko ndo utapgwa na kitu kizito kichwani.
Mbona tayari wameshaweka hapo juu tena aina zote 2. Au nia yako ni kutaka tu kushambulia watu. Watu wengine bwana basi tu.Nidhani utaweka hizo bati sababu ni imara kumbe ni kwa sababu za kiduliduli yaani mifisa fc [emoji276]
Yani akikaa barazani sijui kama hata hewa anapata vizuri,nyumba imebana sana kwenye ukuta,ujue watu wanashindwa kuelewa kuwa sio kila nyumba lazima uweke ukuta.Sasa hapo kwanini umefunga ukuta mrefu na hauna sehemu ya uwazi
Mbona tayari wameshaweka hapo juu tena aina zote 2. Au nia yako ni kutaka tu kushambulia watu. Watu wengine bwana basi tu.