Romantile vs Versatile: Design ipi ungependelea kuweka?

Romantile vs Versatile: Design ipi ungependelea kuweka?

Migongo ya bati la Romantile imekaa kama mlima hivyo hata ikitokea misumari imelegea kutokana na bati kupigwa sana na upepo, maji yatakayokuwa yanavujia ndani ni kidogo sana ukilinganisha na hiyo aina nyingine kwa sababu kwenye bati la romantile maji hayatoweza kutembea kwenye ncha ya huo mlima badala yake maji yatakuwa yanarushwa kwenye hiyo mifereji (troughs) ya bati na ndio mana inashauriwa nyumba za kuficha bati (contemporary) zitumike bati za migongo midogo (corrugated iron sheets)
 
Migongo ya bati la Romantile imekaa kama mlima hivyo hata ikitokea misumari imelegea kutokana na bati kupigwa sana na upepo, maji yatakayokuwa yanavujia ndani ni kidogo sana ukilinganisha na hiyo aina nyingine kwa sababu kwenye bati la romantile maji hayatoweza kutembea kwenye ncha ya huo mlima badala yake maji yatakuwa yanarushwa kwenye hiyo mifereji (troughs) ya bati na ndio mana inashauriwa nyumba za kuficha bati (contemporary) zitumike bati za migongo midogo (corrugated iron sheets)
Kwa hio kws ushauri wa kitalaam, romantile ni nzuri zaidi kuliko bati zote.
 
Yaa, ni sahihi ni zaidi ya 70 mita 3. Ukiweka hiyo heshima sn na mtaani sio wengi wanaoweka hizi bati. Unaweza kujikuta mtaa wako ni wewe peke yako ndiyo unazo tu. Ukifuata kiwandani uhakika wakupata orijino ni 99.99%, ukichukuwa kwa mawakala hasa wasio waaminifu kupata feki au kuchanganyiwa feki na original ni 50/50. Tatizo kiwandani km Alaf wanaruhusu km unachukuwa mzigo wa maana sio kwenda na million 3/5 hapo watakwambia uende kwa mawakala wao. Na huko ndo utapgwa na kitu kizito kichwani.
ALAF hata ukiwa na milioni 2 unanunua bati na unazichukulia hapo hapo kwao.

Nimeahanunua hapo bati mara 2 na muda si mrefu ntaenda mara ya 3
 
Yaa, ni sahihi ni zaidi ya 70 mita 3. Ukiweka hiyo heshima sn na mtaani sio wengi wanaoweka hizi bati. Unaweza kujikuta mtaa wako ni wewe peke yako ndiyo unazo tu. Ukifuata kiwandani uhakika wakupata orijino ni 99.99%, ukichukuwa kwa mawakala hasa wasio waaminifu kupata feki au kuchanganyiwa feki na original ni 50/50. Tatizo kiwandani km Alaf wanaruhusu km unachukuwa mzigo wa maana sio kwenda na million 3/5 hapo watakwambia uende kwa mawakala wao. Na huko ndo utapgwa na kitu kizito kichwani.

Nidhani utaweka hizo bati sababu ni imara kumbe ni kwa sababu za kiduliduli yaani mifisa fc [emoji276]
 
Back
Top Bottom