Tetesi: ROMBO: Madiwani 3 na mwenyekiti Serikali ya kijiji wanyimwa dhamana Mahakamani

Tetesi: ROMBO: Madiwani 3 na mwenyekiti Serikali ya kijiji wanyimwa dhamana Mahakamani

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,903
Mahakama ya Wilaya ya Rombo yawanyima dhamana MADIWANI 3 wa CHADEMA na mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo mpaka tarehe 05/09/2016. Hii ni baada ya Afisa Upelelezi wa Wilaya kuwasilisha mahakamani hati ya maombi ya zuio la dhamana kwa washtakiwa.

Madiwani hao ni:
1. Nicholous B. Kimario - Diwani na Mkt H/W

2. David M. Tarimo - Diwani kata ya Kingachi.

3. Anisia Amede - Diwani Viti Maalum.

4. Mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo.
 
Wanajaribu kuvunja UKUTA, hawatafanikiwa, UKUTA upo palepale
 
Safi kabisa tena huko lumande wasikae bure wahakikishe wanafanya kazi usiku mchana ili tabia zao sa kisomali zikome...hawa ndo walikuwa wanawadharau mawakili wa government sasa naona wanaisoma namba
 
NAONA BADO HATUESHIMIANI ILA HESHIMA ITARUDI SIKU MOJA

kuna kitu tunakitafuta kwa mbali nakiona kinakuja ila kama mtu anahaki mpe haki yake hatupo duniani kukomoana

sikuzote hakuna upuuzi mtupu.....................................
 
Sidhani hata kama unaelewa unachoshangilia siyo kosa lako


!
!
haina jinsi mkuu . Usipowasifia unakuwa mchochezi. Sasa ngojea tuwasifu tu. Taarifa zilizonijia ndotoni ni kwamba selikali itapeleka muswada bungeni ili kupongezwa kwa selikali na vyombo vyake kutambuliwe kisheria na kukosolewa kupigwe marufuku kabisa.
Usisahau kuwa hii ni selikali ya viwanda
 
!
!
Safi sana mwendesha mashtaka na mahakama. Mpaka wakome hao.

upload_2016-8-29_13-32-42.png
 
!
!
haina jinsi mkuu . Usipowasifia unakuwa mchochezi. Sasa ngojea tuwasifu tu. Taarifa zilizonijia ndotoni ni kwamba selikali itapeleka muswada bungeni ili kupongezwa kwa selikali na vyombo vyake kutambuliwe kisheria na kukosolewa kupigwe marufuku kabisa.
Usisahau kuwa hii ni selikali ya viwanda
Selikali=serikali
Rudi shule kwanza unasumbua humu jf
 
Safi kabisa tena huko lumande wasikae bure wahakikishe wanafanya kazi usiku mchana ili tabia zao sa kisomali zikome...hawa ndo walikuwa wanawadharau mawakili wa government sasa naona wanaisoma namba
Utafikwa na laana
 
Mahakama ya Wilaya ya Rombo yawanyima dhamana MADIWANI 3 wa CHADEMA na mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo mpaka tarehe 05/09/2016. Hii ni baada ya Afisa Upelelezi wa Wilaya kuwasilisha mahakamani hati ya maombi ya zuio la dhamana kwa washtakiwa.

Madiwani hao ni:
1. Nicholous B. Kimario - Diwani na Mkt H/W

2. David M. Tarimo - Diwani kata ya Kingachi.

3. Anisia Amede - Diwani Viti Maalum.

4. Mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo.
Ni jambo la aibu kumnyima dhamana mtuhumiwa.
 
Back
Top Bottom