Tetesi: ROMBO: Madiwani 3 na mwenyekiti Serikali ya kijiji wanyimwa dhamana Mahakamani

Tetesi: ROMBO: Madiwani 3 na mwenyekiti Serikali ya kijiji wanyimwa dhamana Mahakamani

Mahakama ya Wilaya ya Rombo yawanyima dhamana MADIWANI 3 wa CHADEMA na mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo mpaka tarehe 05/09/2016. Hii ni baada ya Afisa Upelelezi wa Wilaya kuwasilisha mahakamani hati ya maombi ya zuio la dhamana kwa washtakiwa.

Madiwani hao ni:
1. Nicholous B. Kimario - Diwani na Mkt H/W

2. David M. Tarimo - Diwani kata ya Kingachi.

3. Anisia Amede - Diwani Viti Maalum.

4. Mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo.


Sielewi hizi sarakazi. Mara nyingi kumweka mwanasiasa ndani ni sawa na kumpiga teka chura apate kupiga hatua ndefu.
 
Back
Top Bottom