Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Ben Saanane njoo huku. Rombo kimenuka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama ya Wilaya ya Rombo yawanyima dhamana MADIWANI 3 wa CHADEMA na mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo mpaka tarehe 05/09/2016. Hii ni baada ya Afisa Upelelezi wa Wilaya kuwasilisha mahakamani hati ya maombi ya zuio la dhamana kwa washtakiwa.
Madiwani hao ni:
1. Nicholous B. Kimario - Diwani na Mkt H/W
2. David M. Tarimo - Diwani kata ya Kingachi.
3. Anisia Amede - Diwani Viti Maalum.
4. Mjumbe mmoja wa serikali ya Kijiji cha Kirongo.