RomboDeluxe - a new local joint in A'town

RomboDeluxe - a new local joint in A'town

ndegeulaya

Member
Joined
Apr 26, 2011
Posts
74
Reaction score
13
Haya hayaaa ....! kwa wale wazee wa ile mambo yetu ndani ya the A'town centre of Africa, mnakaribishwa sana katika 'ufunguzi' rasmi wa 'RomboDeluxe', a new local joint in the heart of the town, the place formally known as "Makutini grocery', know what i'm saying, meein?

The place is located at 'Tanki la Maji' area, along Arusha-Moshi-Highway opposite 'Soweto surburb' kwa wajanja wa mjini, just 20 meters from Lenana Resort, bia ni za kumwaga, nyama choma za ukwenga, na watoto ni wakali ile mbayaa hahaa ..., kaazi kwelkwel!
 
wahudumu wana kauli za biashara?hili ndio tatizo la arusha.
 
wahudumu wana kauli za biashara?hili ndio tatizo la arusha.

umeona eenh? uzuri au ubaya wa wahudumu wa A'town, wao kwa madai yao hudai wakogo ki 'biashara zao' zaidi, if you know what they mean ....
 
Back
Top Bottom