makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nilimchukia okocha kombe la dunia 98 kati ya Nigeria ns denimark alicheza kutaka sifa binafsi badala ya kusaidia timu matokeo yake wakafungwa nne tofauti ns kina Sunday olisa walijitolea kea timu yeye madoido yasiyo na maana gaucho ni zaidi
Hata zidane alikuwa na weakness zake.
Ila weakness kubwa ya zidane alikuwa sio mchezaji wa kumtegemea mechi ndogo.
Yaani kama France anacheza sijui na vi-nchi vidogovidogo jua zidane hana msaada.na ndio maana chunguza mechi nyingi za kimataifa zidane huwa anazingua hatua ya makundi ila inapofika hatua ya mtoano na giant timu ndio utamjua zidane ni nani.
Hata real Madrid walikuwa wanalalamika zidane hawasaidii sana mechi za Ligi wanapocheza na vitimu vidogo na wewe ndio maana amechukua la Liga mara moja tu pamoja na kucheza misimu mitano
Sent using Jamii Forums mobile app
Dinyo hakuna mpinzani kwa sasa na mpaka kizazi kitakacho kuja kwa miaka 50
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja akiwa EPl alikuwa anapiga chenga mabeki ndani ya Sita....huo Ni ujuha .Hakuna Meneja mwenye kiu ya kufanikiwa ,akakubali upuuzi huo!Hahaha chief hata PSG aliyochezea Okocha siyo PSG ya leo.
Okocha alikua anachezea mpira ila uchezeaji wake ulikua hauna mchango katika timu kushinda au yeye kuscore, naamini ndiyo maana timu kubwa hazikuwahi kumtaka kwa sababu walijua ni mchezaji ambaye atapozesha mashambulizi wakati timu inataka ushindi.
Angalia hata highlights zake, unaona kabis timu ipo kwenye movement mpira ukifika kwake unapoa, ukishapoa ananyang'anywa na movement ya goli inakufa.
Binafsi namfananisha Okocha na Allan St Maximin wa New Castle, anapenda kuchezea mpira bila kujua anaiziba timu kushinda. Na hua hawajali kama timu inaongozwa au inahitaji ushindi.
Timu yangu Arsenal ilikua na Iwobi mwenye huu mtindo na sasa hivi ina Pepe.
Gaucho ni bora sana.
Hata zidane alikuwa na weakness zake.
Ila weakness kubwa ya zidane alikuwa sio mchezaji wa kumtegemea mechi ndogo.
Yaani kama France anacheza sijui na vi-nchi vidogovidogo jua zidane hana msaada.na ndio maana chunguza mechi nyingi za kimataifa zidane huwa anazingua hatua ya makundi ila inapofika hatua ya mtoano na giant timu ndio utamjua zidane ni nani.
Hata real Madrid walikuwa wanalalamika zidane hawasaidii sana mechi za Ligi wanapocheza na vitimu vidogo na wewe ndio maana amechukua la Liga mara moja tu pamoja na kucheza misimu mitano
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.Kingine zidane ana hasira za haraka kuna mech alipewa kadi nyekundu mfano france na saud Arabia 1998 ya pili fainali france na italy 2006.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli.
Worldcup 1998 zidane alicheza mechi mbili za makundi, mechi ya pili akala red card hivyo akakosa mechi ya tatu ya makundi na mechi ya 16 Bora dhidi ya Paraguay. Hivyo zidane alicheza na Italy(giant) robo fainali (hapa aling'ara sana), nusu against croatia(alicheza kawaida sana) na fainali against Brazil (hapa alicheza mpira wa sayari nyingine?
Euro 2000 kama unakumbuka zidane hakucheza vizuri kwenye makundi mpaka France walimaliza washindi wa pili nyuma ya Holland. Robo wakakutana na Spain ya akina Raul na Guardiola (zidane alisimamisha dunia), nusu fainali akakutana na ureno ya figo( moja ya mechi bora zidane alizowahi kuperform) fainali akakutana na Italy.aliperform vizuri sana.
Worldcup 2002 France waliishia makundi.
Euro 2004 france mechi ya kwanza akaanza na England (giant).mechi ikaisha kwa France kushinda 2-1 magoli ya france yote akifunga zidane.ila zidane alishindwa robo fainali na Greece(small ) na kutolewa
World cup 2006 .mechi ya kwanza na South Korea draw( first yellow card). Ya pili na uswisi draw (second yellow card).mechi ya tatu akawa suspended against Togo.ufaransa akashinda.uliibuka mjadala mkubwa sana nchini ufaransa kwamba mechi mbili za kwanza zidane ndie alikuwa anaiangusha timu hivyo mechi ya 16 Bora na Spain asipangwe. Kocha akasema siwezi kucheza na Xavi, Iniesta, Fabregas na Alonso katikati bila Zidane wataniua.kumbuka may Xavi na Iniesta walitoka kuchukua UCL na Barca, Fabregas ametoka kucheza fainali ya UCL na Barca na Alonso mwaka mmoja uliopita aliwapa ubingwa liverpool wa UCL dhidi ya Ac Milan.hivyo Spain walikuwa na viungo waliokuwa kwenye fomu balaa kwahiyo france walilazimika kumpanga zidane.
Kilichofuata France 3-1 Spain.goli la tatu anafunga Zidane.
Robo fainali na Brazil anatoa assist kwa Henry
Nusu na Ureno anafunga goli moja Zidane.
Fainali France anafungwa na zidane anastaafu.
Conclusion:
Linapokuja suala la big match sijawahi kumuona mchezaji wa level ya Zidane.
Sent using Jamii Forums mobile app
.Alafu anakuja shabiki wa tandale kwa mtogolo anathubutu kumlinganisha gaucho na hiyo mashine Zinedine zizzou 😀 gaucho hata 5 greatest players of all time hayumo
Nilimchukia okocha kombe la dunia 98 kati ya Nigeria ns denimark alicheza kutaka sifa binafsi badala ya kusaidia timu matokeo yake wakafungwa nne tofauti ns kina Sunday olisa walijitolea kea timu yeye madoido yasiyo na maana gaucho ni zaidi