Ronaldinho alikuwa zaidi ya Messi Barcelona

Ronaldinho alikuwa zaidi ya Messi Barcelona

Kwa hiyo kwa akili yako unadhani Messi aliweka masaburi chini kama unavyoweka wewe ukiwa unaandika jealous zako halafu akaletewa tuzo?

Ndoo ya dunia ni ya timu sio ya mchezaji. Kama ulivyosema wanapiga nayo picha, lkn Messi ye mavitu yake anayo kabatini, mwaka wako huu, kama sio shinikizo la damu basi utakufa kwa sononi.

Huyo kapiga picha na kombe mwenzake anamiliki makombe


Kama ni wivu wa kike au chuki binafsi then hawa jamaa they are in for it, kwa sababu Messi bado ana miaka zaidi ya mitano on top level kuweka record nyingine na who knows, may be hilo kombe lililokosa umaarufu (WC) could be among them then tutasikia unafiki mwingine hapa, tuombe uzima tu but this boy is set to rewrite the history of football,you just wait and see!
 
Jamani ubishi wa nini Gaucho ni 99horse power si mchezo, Dogo anacheza sn lkn kweli hwezi wala hatakuja mfikia kifaru awapo uwanjani Gaucho, akili nyingi na alikuwa akitumia miguu yt, jamaa si mchezo lazima tukubali, kufunga au kuongoza magoli mengi kwa Dogo messy nikuwa hana washindani kama wakati wa huyu Kifaru Dume alipokuwa uwanjani, kila mtu alitamani kuona nn atafanya.
Ukweli utabakia ukweli.
 
Jamani ubishi wa nini Gaucho ni 99horse power si mchezo, Dogo anacheza sn lkn kweli hwezi wala hatakuja mfikia kifaru awapo uwanjani Gaucho, akili nyingi na alikuwa akitumia miguu yt, jamaa si mchezo lazima tukubali, kufunga au kuongoza magoli mengi kwa Dogo messy nikuwa hana washindani kama wakati wa huyu Kifaru Dume alipokuwa uwanjani, kila mtu alitamani kuona nn atafanya.
Ukweli utabakia ukweli.



Na hiyo so called "99horse power" kwa nini alishindwa kushine akiwa Italy na AC Milan? even hata kwa team yake ya Taifa was a shadow of a man who played at Barca
 
Jamani ubishi wa nini Gaucho ni 99horse power si mchezo, Dogo anacheza sn lkn kweli hwezi wala hatakuja mfikia kifaru awapo uwanjani Gaucho, akili nyingi na alikuwa akitumia miguu yt, jamaa si mchezo lazima tukubali, kufunga au kuongoza magoli mengi kwa Dogo messy nikuwa hana washindani kama wakati wa huyu Kifaru Dume alipokuwa uwanjani, kila mtu alitamani kuona nn atafanya.
Ukweli utabakia ukweli.


Swadaktaaaar....
 
Na hiyo so called "99horse power" kwa nini alishindwa kushine akiwa Italy na AC Milan? even hata kwa team yake ya Taifa was a shadow of a man who played at Barca


Usikurupuke.
Alikwambia nani Gaucho kachemsha AC Milan?
Angekuwa kachemsha watu walingelala katika Barabara kuu ya Turati iingiayo katika uwanja wa kihistoria wa San siro Meazza.

Dinho ni habari nyingine kijana.
 
Usikurupuke.
Alikwambia nani Gaucho kachemsha AC Milan?
Angekuwa kachemsha watu walingelala katika Barabara kuu ya Turati iingiayo katika uwanja wa kihistoria wa San siro Meazza.

Dinho ni habari nyingine kijana.

Povu mpaka unashindwa kuandika vyema! Wivu wa kike utakuua.

Kulala barabarani ndio issue? Nini hiyo ya Wataliano kumshangilia mtu anayechekacheka, ngoja nikubandikie hapa ya WABRAZIL kumshangilia Messi. Yaani kwa maneno mengine, Messi aliwafunika wenyeji, uwanja ukawa unamshangilia yeye. Sio maneno yangu, ni ya Gilberto

Gilberto
"Messi's plaudits are hard to accept, we play in other countries and we do not see the local fans supporting our players there. Over 40 thousand Brazilians applauded, and that's hard for who is on the field. When I see them applauding Messi I get annoyed."

Ngoja nikuongezee na maneno ya Ronaldinho mwenyewe

Ronaldinho
"Every time he plays, Leo Messi reminds me more of Maradona, both left-footed and short, Messi is the best player in the world, along with Kaká and Cristiano Ronaldo. For us it is not a surprise. Since he began to come and train with us and we knew we would go down this path. Someday I will explain that I was at the birth of one of the footballing greats: Leo Messi."

Na kama kawaida yangu, tofauti na wewe, mimi siweki maneno bila source. Gonga hapa upate full maneno
 
Usikurupuke.
Alikwambia nani Gaucho kachemsha AC Milan?
Angekuwa kachemsha watu walingelala katika Barabara kuu ya Turati iingiayo katika uwanja wa kihistoria wa San siro Meazza.

Dinho ni habari nyingine kijana.


Kwa hiyo unamaanisha Dinho ni bora kuliko Messi kwa sababu alikuwepo kwenye kikosi cha Brazil kilichoshinda World Cup? hiki ndio kigezo chako? Gang Chomba unaitia aibu soka kama vipi piga kimya tu! :second:
 
Huwezi kumlinganisha messi na dinho! Messi ni namba nyingine na sijui ni mwaka gani atapata mpinzani! Huyu atachukua uchezaji bora hata mara tisa, na atachukua hadi achoke. Gogo ana kipaji sana, na anajiheshimu, na anauheshimu mpira. Dinho kipaji chake kimeonekana akiwa 25yrs huku messi ameanza kupata mataji akiwa na 13 yrs. Kama watu hamjui vipaji kaeni kimya!
 
Huwezi kumlinganisha messi na dinho! Messi ni namba nyingine na sijui ni mwaka gani atapata mpinzani! Huyu atachukua uchezaji bora hata mara tisa, na atachukua hadi achoke. Gogo ana kipaji sana, na anajiheshimu, na anauheshimu mpira. Dinho kipaji chake kimeonekana akiwa 25yrs huku messi ameanza kupata mataji akiwa na 13 yrs. Kama watu hamjui vipaji kaeni kimya!
Unajua huyu Gang Chomba anabase sana kwenye magazeti na mitandao na anasahau kuwa hao wanaoandika pia wana utashi wao na mapenzi yao kwa mchezaji fulani. Kwanza tunafanya makosa sana kuwalinganisha hawa wachezaji maana wakati dinho akiwika messi alikuwa bado mtoto na wakati messi anawika dinho ameshakuwa mzee, sasa unalinganishaje ufanisi wao. Ni sawa na kulinganisha performance ya ATC (kabla ya Precisiona air) na Precision (Kipindi hiki ambacho ATC inachechemea). Anyway we can look some facts
Ronaldinho alikuwa anaburudisha na kuchezea mpira, Messi is the goal scorer and has high skills
Kipindi hicho Barcelona bila Ronaldinho ilikuwa kama NUSU TIMU, na Messi ukimtoa Barcelona inabaki timu ya Taifa ya Spain
Dinho amemaliza career yake lakini messi ndo kwanza ameanza. Tusubiri wote wamalize career yao ili tuweze kuwalinganisha kutokana na mafanikio waliyoyapata
 
Last edited by a moderator:
Huwezi kumlinganisha messi na dinho! Messi ni namba nyingine na sijui ni mwaka gani atapata mpinzani! Huyu atachukua uchezaji bora hata mara tisa, na atachukua hadi achoke. Gogo ana kipaji sana, na anajiheshimu, na anauheshimu mpira. Dinho kipaji chake kimeonekana akiwa 25yrs huku messi ameanza kupata mataji akiwa na 13 yrs. Kama watu hamjui vipaji kaeni kimya!

Hata huyu Mjerumani ana mawazo na maoni kama yako

Karl-Heinz Rummenigge
"Nobody was so wonderful at 19 years, neither Pele nor Maradona."

Sasa kajamaa Ganga Chumba kanaumwa roho kuona mtoto mdogo ana kabati zima la vikombe at the age of 25. Na bado, mtaumwa sana
 
Gaucho Mnyama alikuwa mchezaji kutoka sayari nyingine, ili kuwa ameletwa na Mungu kuonyesha kama kwenye sayari nyingine kuna vitu vikubwa kuzidi hivi tunavyoona hapa duniani.

Gaucho ndio mchezaji alikuwa ana uwezo wa kukubembeleza kukupiga chenga au kukulazimisha kukupiga chenga.

Gaucho ndio mchezaji ambaye aliweza kusababisha baadhi ya wachezaji kuuzwa kwenye timu nyingine kutokana na yale aliyoweza kuwafanyia uwanjani.

Gaucho amebarikiwa
 
Gaucho Mnyama alikuwa mchezaji kutoka sayari nyingine, ili kuwa ameletwa na Mungu kuonyesha kama kwenye sayari nyingine kuna vitu vikubwa kuzidi hivi tunavyoona hapa duniani.

Gaucho ndio mchezaji alikuwa ana uwezo wa kukubembeleza kukupiga chenga au kukulazimisha kukupiga chenga.

Gaucho ndio mchezaji ambaye aliweza kusababisha baadhi ya wachezaji kuuzwa kwenye timu nyingine kutokana na yale aliyoweza kuwafanyia uwanjani.

Gaucho amebarikiwa


NONSENSE, maneno ya jikoni hayo wanakokaaga kina mama, ooh alipiga chenga, ooh alitumwa na mungu cjui nini, Rubbish!
Leta facts hapa, tupe statistics sio mbwelambwela mnazosimuliwaga na mabwana zenu wewe na wenzako kina Chomba, mbona huo wivu wa kike utawaua coz huyo dogo ataendelea kuwashangaza haters for years to come
 
Gaucho Mnyama alikuwa mchezaji kutoka sayari nyingine, ili kuwa ameletwa na Mungu kuonyesha kama kwenye sayari nyingine kuna vitu vikubwa kuzidi hivi tunavyoona hapa duniani.

Gaucho ndio mchezaji alikuwa ana uwezo wa kukubembeleza kukupiga chenga au kukulazimisha kukupiga chenga.

Gaucho ndio mchezaji ambaye aliweza kusababisha baadhi ya wachezaji kuuzwa kwenye timu nyingine kutokana na yale aliyoweza kuwafanyia uwanjani.

Gaucho amebarikiwa

This is totally silly comment! Unaposema sayari nyingine una maana gani? Jamani humu naona kuna mashabiki wa mpira na si wapenzi wa mpira!
 
HITIMISHO...
1. Messi has fast reactions to when people are
trying to tackle him and runs the opposite way
1. Ronaldinho has the skill to go right past them 2. Messi takes good shots from outside the box
mostly
2. Ronaldinho penetrates the defence and scores 3. Messi brings out the best in himself
3. Ronaldinho brings out the best in himself as
well as his teammates 4. Messi is shining very well as a player
4. Ronaldinho was twice as good as Messi when
he was his age (he is older than messi and is still
shining)!

So the answer of who is better is obvious,
Ronaldinho is better in a million years even
though he is not as young as Messi...
 
hitimisho ni kuwa kila alichokishinda Messi basi Gaucho alisha kishinda.

Lakini kuna alichokishinda Gaucho huyo Messi hajawahi kukishinda.

So kwa niaba ya wamiliki wa Jamii forums, pia kwa mamlaka niliokabidhiwa na mtoa mada ndugu Yo Yo, na wachangiaji woote waliochangia thread hii napenda kumpa kura zoote za ushindi nabii wa Soka Ronaldinho gaucho ambaye ni WORLD CUP WINNER.

Narudia tena WORLD CUP WINNER.

Asanteni.

HITIMISHO...
1. Messi has fast reactions to when people are
trying to tackle him and runs the opposite way
1. Ronaldinho has the skill to go right past them 2. Messi takes good shots from outside the box
mostly
2. Ronaldinho penetrates the defence and scores 3. Messi brings out the best in himself
3. Ronaldinho brings out the best in himself as
well as his teammates 4. Messi is shining very well as a player
4. Ronaldinho was twice as good as Messi when
he was his age (he is older than messi and is still
shining)!

So the answer of who is better is obvious,
Ronaldinho is better in a million years even
though he is not as young as Messi...

Utatoa mahitimisho hata kumi lakini huwezi kuhitimisha Safari ya Lionel Andres 'Leo' Messi. Utabakia tu na maneno ya kike-kike na baadaye hitimisho. Utahitimisha sana mwaka huu.

Na nikusaidie tu mawazo ndugu yangu uliyepofuliwa na chuki na wivu, kabla hujaandika utumbo, zingatia kuwa unasomwa na watu wenye akili zao. Hebu angalia jinsi ulivyo mjinga:

So the answer of who is better is obvious,
Ronaldinho is better in a million years even
though he is not as young as Messi...


Watu hutoka kwenye umri mdogo kwenda mkubwa kwa hiyo anayepaswa kusifiwa kwa kufanya jambo umri ukihusika ni yule aliyefanya akiwa mdogo.

Anayetakiwa kupewa credits ni yule aliyefanikiwa mapema. Uzee kila mtu ataukuta lkn ujana haurudi. Kama kuna ambacho Gaucho amefanya basi Messi anayo nafasi ya kukijaribu lkn aliyofanya Messi, Gaucho asahau.

Sasa wewe kwa wivu na kutokuwa kwako na akili, unashangilia ujinga. Habu nikuwekee tena maneno ya Rummy....

Karl-Heinz Rummenigge
"Nobody was so wonderful at 19 years, neither Pele nor Maradona."


Sasa usifikiri huyu ni Shafii Dauda, huyo ni Rais wa Bayern Munich ya Ujerumani na nguli wa soka. Anamsifia Messi kwa kufika kileleni akiwa mdogo, which means he has done more than his age.

Njoo na hitimisho lingine, haya mawili nimeyakataa.
 
Gaucho Mnyama alikuwa mchezaji kutoka sayari nyingine, ili kuwa ameletwa na Mungu kuonyesha kama kwenye sayari nyingine kuna vitu vikubwa kuzidi hivi tunavyoona hapa duniani.

Gaucho ndio mchezaji alikuwa ana uwezo wa kukubembeleza kukupiga chenga au kukulazimisha kukupiga chenga.

Gaucho ndio mchezaji ambaye aliweza kusababisha baadhi ya wachezaji kuuzwa kwenye timu nyingine kutokana na yale aliyoweza kuwafanyia uwanjani.

Gaucho amebarikiwa

Onesha vyeti baba maneno mengi ya nini?

Japo nakubaliana ni nguli huko kwenye sayari nyingine, manake kwenye sayari hii yetu, ni wa kawaida sana kiasi hata hapa hayupo:

Below are the results of a poll by International Federation of Football History & Statistics (IFFHS) for the best Brazilian player of the 20th century.[SUP][53][/SUP][SUP][54][/SUP]
[TABLE="class: cms_table_cms_table_wikitable"]
[TR]
[TH]#[/TH]
[TH="width: 150"]Name[/TH]
[TH="width: 100"]Career[/TH]
[TH="width: 40"]Votes[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]1[/TD]
[TD="align: left"]Pelé[/TD]
[TD]1957–1971[/TD]
[TD]220[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2[/TD]
[TD="align: left"]Garrincha[/TD]
[TD]1955–1966[/TD]
[TD]142[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3[/TD]
[TD="align: left"]Zico[/TD]
[TD]1971–1989[/TD]
[TD]51[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4[/TD]
[TD="align: left"]Zizinho[/TD]
[TD]1942–1957[/TD]
[TD]40[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5[/TD]
[TD="align: left"]Arthur Friedenreich[/TD]
[TD]1912–1935[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Tostão[/TD]
[TD]1966–1972[/TD]
[TD]21[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7[/TD]
[TD="align: left"]Didi[/TD]
[TD]1952–1962[/TD]
[TD]15[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Leônidas[/TD]
[TD]1932–1946[/TD]
[TD]13[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9[/TD]
[TD="align: left"]Nílton Santos[/TD]
[TD]1949–1962[/TD]
[TD]12[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Ronaldo[/TD]
[TD]1994–2011[/TD]
[TD]12[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11[/TD]
[TD="align: left"]Romário[/TD]
[TD]1987–2005[/TD]
[TD]11[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12[/TD]
[TD="align: left"]Falcão[/TD]
[TD]1976–1986[/TD]
[TD]10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Rivelino[/TD]
[TD]1965–1978[/TD]
[TD]10[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14[/TD]
[TD="align: left"]Ademir da Guia[/TD]
[TD]1965–1974[/TD]
[TD]9[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15[/TD]
[TD="align: left"]Luís Pereira[/TD]
[TD]1973–1977[/TD]
[TD]7[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]16[/TD]
[TD="align: left"]Carlos Alberto Torres[/TD]
[TD]1964–1977[/TD]
[TD]5[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17[/TD]
[TD="align: left"]Domingos da Guia[/TD]
[TD]1931–1946[/TD]
[TD]4[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18[/TD]
[TD="align: left"]Ademir[/TD]
[TD]1945–1953[/TD]
[TD]3[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19[/TD]
[TD="align: left"]Bebeto[/TD]
[TD]1985–1998[/TD]
[TD]2[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="align: left"]Jairzinho[/TD]
[TD]1963–1982[/TD]
[TD]2[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Labda arudi huko kwenye sayari nyingine. Sayari hii wenyewe hawahitaji kusifiwa kwa midomo ya wanafiki, miguu yao inatosha kuonesha wao ni nani

Pantallazo_Messi_France_Football.v1357925138.jpg


Hilo ndio kabati la Messi, nyie endeleeni kukataa kwa midomo yenu, mimi nitawapa FACTS
 
Kuna watu huwa wanasema Ronaldinho made the modern Barcelona and Barcelona made Messi. Kwa miaka mitatu, Ronaldinho alikuwa showman wa Barcelona. Hiki pia kilikuwa kipindi ambacho nilifurahia kuangalia mpira to the maximum. Mtu unatamani dakika 90 zisiishe.

Kwangu Messi anacheza classic football – pass assist - goal; na yuko very effective in it. Ronaldinho alikuwa team player. His skills were speechless. Kuna mtangazaji mmoja alisema kwenye mechi ya Barca na Chelsea kuwa some of his tricks were too small to notice.

Zaidi, kipindi alichocheza Ronaldinho walikuwepo watu kama Zidane, Cannavaro, Ronaldo mkubwa, Thierry Henry, n.k. Kwa hiyo, standard ya Ronaldinho ilikuwa inalinganishwa na these very top players.

Kipindi cha Messi hakuna wachezaji wakali sana zaidi ya Ronaldo mdogo ambaye hata hivyo angeonekana wa kawaida kama angecheza Madrid wakati wa akina Zidane na Ronaldo mkubwa wakiwa kwenye form.

Nafikiri Ronaldinho ni mchezaji pekee ambaye alishawahi kufunga goli dhidi ya Real Madrid pale Bernabeu na kupewa outstanding ovation kutoka kwa washabiki wa Madrid for his fantastic performance. That was exceptional ukizingatia utani wa hizi timu mbili. Cheki video hapo chini.

Kwangu mimi Ronaldinho was better kuliko alivyo Messi sasa. Messi hawezi kuongoza timu. Wachezaji kama Ronaldinho, Zidane na hata Pirlo waliweza. Ndiyo maana performance yake kwenye timu ya taifa siyo sawa na performance yake Barca

Tofauti kubwa kati ya hawa wachezaji ni kwamba Ronaldinho was the leading force behind the team. In contrast, Messi's team is the leading force behind him. In addition, Ronaldinho coined what we now call "sexy football". When he had the ball on his feet you just wanted it to say there forever.

Kama nataka kuangalia mechi moja kati ya mbili zinazochezwa kwa wakati mmoja na nina TV moja halafu nichague kuangalia kati ya Ronaldinho wa wakati ule and Messi wa sasa, nitachagua mechi anayocheza Ronaldinho.

Don't get me wrong, Messi is magical, unlimited, unconditional and breathtaking to watch. Hata hivyo, nitaangalia highlights za mabao aliyofunga wakati wa half-time au kwenye extended highlights baada ya mechi.






2.4.jpg
 
Last edited by a moderator:
"To be here with all those great players applauding
me is a dream come true,".........Dinho the saint
akielezea furaha yake alipofanikiwa kutua timu
yenye mafanikio zaidi Duniani yaani AC Milan.
 
Back
Top Bottom