Bumpkin Billionare
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 1,332
- 621
I believe huenda wangeshinda wengine ambao huenda wana ubora hata Ronaldo naye sidhani kama angekuwa anashika namba mbili muda wote angeweza kuwa hata namba tatu au namba nyingine,lakini sio yeye four times consecutively hapan.Akili ya binadamu mara nyingi inatawaliwa na kuwa boosted sometimes,ndo maana unaweza ukawakuta watu wanabishana eti Redio fulani imesema fulani anacheza vizuri so naye anaamini hivo.But ni mtizamo wangu tu si lazima iwe hivo.
Dah, mkuu....!! You believe... huenda....wangeshinda....huenda....angekuwa...angeweza....!! Mkuu majibu gani haya sasa??? Huna jina hata moja???I believe huenda wangeshinda wengine ambao huenda wana ubora hata Ronaldo naye sidhani kama angekuwa anashika namba mbili muda wote angeweza kuwa hata namba tatu au namba nyingine,lakini sio yeye four times consecutively hapan.Akili ya binadamu mara nyingi inatawaliwa na kuwa boosted sometimes,ndo maana unaweza ukawakuta watu wanabishana eti Redio fulani imesema fulani anacheza vizuri so naye anaamini hivo.But ni mtizamo wangu tu si lazima iwe hivo.
Wakuu , tusimsahau JJ Okocha, naye pia alikua na vitu hadimu.
Haaahaaaa... yaani jamaa kazunguka weee na bado hkn jibu!!Dah!! Mbali sana uko! Ni nani na kwa vigezo vipi!!!?
By the way, Austin 'Jay Jay' Okocha usimlinganishe na Gaucho, Okocha ndie nabii hasa aliyetuletea 'baiskeli' uwanjani. Kwa taarifa yako, baiskeli kwa mara ya kwanza ilipigwa 1994 kwenye kombe la dunia Marekani
Though ni nje ya mada ila Okocha alikua na mbwembwe na manjonjo mengi but hakua na mchango wa kuamua matokeo ya match
Hivi kumbe pia kuna vilaza wa historia ya soka?
"His debut season, despite being hampered by injury, made him a favourite with the Bolton fans, with the team printing shirts with the inscription "Jay-Jay so good they named him twice". He steered the team away from relegation with seven goals, including the team Goal of the Season in the vital league win against West Ham.[SUP][4][/SUP] This was voted Bolton's best Premier League goal in a fans vote in 2008.[SUP][5][/SUP] The next season saw Okocha receive more responsibility as he was given the captain's armband following Guðni Bergsson's retirement. As captain he led Bolton to their first cup final in nine years where they finished runners-up in the 2004 Football League Cup"
Eti Okocha ndiye aliyeleta "baiskel" uwanjan halafu kuna watu wanajifanya wanajua history ya soccer, katafuteni clip za The Greatest footballer ever Diego Maradona muone hizo baiskel mpaka helicopter kutoka kwa the football God himself, hakuna kitu kipya kwenye soccer kwa Maradona, alishafanya vyote
Hahahahha manabii wa uongo akina Cr7 na Messi binafsi nawaona wajumbe tu. Maradona alikua mzima pia nakubali ila kwa Ronaldinho Gaucho acheni bwana huyu jamaa katenda miujiza nyie katika soccer
Hahahahha manabii wa uongo akina Cr7 na Messi binafsi nawaona wajumbe tu. Maradona alikua mzima pia nakubali ila kwa Ronaldinho Gaucho acheni bwana huyu jamaa katenda miujiza nyie katika soccer
kwangu mimi dinho ni mungu wa mpira,ronaldo asis de morreira nafurahi sana kulitaja jina lake watu wanamkufuru mungu wa mpira kwa kumfananisha na huyo anakwenda anakwenda wa mguu wa kushoto aah dinhooooooooooo.kaka nakupa tano! Hakika mimi toka nimekua, nimemuona maradona,matheus, zizou, na wengine lakini naamini sijawahi kuona ka gaucho.alikua na kila kitu ambacho mchezaji anapaswa kuwa nacho, kuanzia, skills , speed, ball control, flexible, techniques na vionjovingio vingine.alikua ana uwezo wa kutumia miguu yote miwili ukilinganisha na messi.kwangu mie kinachombeba messi ni mguu wa kushoto.kwa mtu aliecheza mpira watu wa mguu wa kushoto ni ngumu kumkaba unapotumia mguu wa kulia, kwani muda mwingi anaelekea ,angle ambayo ni rahisi kumfanyia faul.
Umenifanya nifurahi, kwamba siko peke yangu naeamini katika dinho!