La Biblicana
JF-Expert Member
- Jan 1, 2013
- 556
- 343
kwangu mimi dinho ni mungu wa mpira,ronaldo asis de morreira nafurahi sana kulitaja jina lake watu wanamkufuru mungu wa mpira kwa kumfananisha na huyo anakwenda anakwenda wa mguu wa kushoto aah dinhooooooooooo.
Bufa kama hawatokuelewa wewe basi hawawezi kuwaelewa miungu yao wanayoiabudu...
panda ghorofani ujitupe dinho anatisha,kukosea mechi moja tena baada ya umri kuwa umeenda hakutoshi kumfanya mungu wa mpira adhalilike ushasema timu nzima iliyumba sasa vipi unamlaimu dinho.kilimshinda nini kufanya huo umungu wake mbele ya wilshere, cleverly na gerrard juzi?
Nafikiri ukiwarenk wachezaji wa brazil katika ile mechi, basi mungu wenu angeshika nafasi ya mwisho. Kashindwa hata na welbeck, utumbo mtupu. Labda kama uanzishe mashindano ya kuchekacheka
panda ghorofani ujitupe dinho anatisha,kukosea mechi moja tena baada ya umri kuwa umeenda hakutoshi kumfanya mungu wa mpira adhalilike ushasema timu nzima iliyumba sasa vipi unamlaimu dinho.
Kilimshinda nini kufanya huo umungu wake mbele ya Wilshere, Cleverly na Gerrard juzi?
Nafikiri ukiwarenk wachezaji wa Brazil katika ile mechi, basi mungu wenu angeshika nafasi ya mwisho. Kashindwa hata na Welbeck, utumbo mtupu. Labda kama uanzishe mashindano ya kuchekacheka
mimi ni shabuki wa england nisingekosa kuona hiyo mechi sababu wakati huo nilikuwa sambamba na mechi ya burkinabe na ghana sema utakavyosema dinho anatisha na kama ni suala la kuona dinho si bado yupo tutamuona tu.dinho huyu aliyechemka juzi kama hajawahi kucheza mpira au dinho yupi mnamzungumzia? Nyinyi wote hamkutazama mechi, hata si kweli kwamba timu nzima iliyumba, bali mnapokuwa na mchovu uwanjani lazima myumbe.
Usilete ngonjera za mechi moja na uzee, unataka kuniambia ronaldinho ni mzee zaidi ya andrea pirlo na carles puyol?
Ronaldinho march 21, 1980
carles puyol april 13, 1978
andrea pirlo may 19, 1979
frank lampard june 20, 1978
hata barcelona walimuuza akiwa kijana tu kwa kuwa hakuwa na maana tena kwa timu. Ona sasa wenye kuujua mpira kina puyol wanazeekea nou camp.
mimi ni shabuki wa england nisingekosa kuona hiyo mechi sababu wakati huo nilikuwa sambamba na mechi ya burkinabe na ghana sema utakavyosema dinho anatisha na kama ni suala la kuona dinho si bado yupo tutamuona tu.
"The best player [in the world] is Messi - he makes everything look so easy. He has everything in his locker, every player looks to him. He does things that no one else can do, and he embodies football and embodies perfection."
Nacho Monreal,
Arsenal newly invested left back
12.02.2013
na hakunaga kazi rahisi,dinho tisha sanaUna kazi ngumu! Yaani bora wenzako waliosema ya zamani, wewe unategemea kuona mapya kwa marehemu?!
Gaucho ni mmoja wa wachezaji bora kabisa kuwahi kutokea ulimwenguni, Messi ameuwasha moto kwenye La Liga katika kipindi cha miaka 8, akivunja rekodi mbalimbali ikiwemo ya kufunga mabao mengi. Lakini Ronaldinho kipekee zaidi aliibadilisha historia ya Barca alipowasili Nou Camp 2003, na kuchangia kwa mafanikio wanayoyapata kikosi cha sasa. GAucho aliibadilisha historia ya barca kumbuka barca hawakuwa wameshinda taji lolote kwa miaka mingi. Alikuja na kuifanya Barca kuwa na nguvu.Alikuwa anafanya vitu vyake vya kustajaabisha kila siku.
siku zote nimekua nikitafuta neno sahihi la kumuelezea Ronaldo de asis Moreira "Ronaldinho" nadhani nimepata
Yo Yo,
Ukiangalia hiyo Video utamuona jinsi GAUCHO alivyo binadamu wa kawaida ambaye anatumia nguvu zake zote ili kuwapita wapinzani wake. Atajirusha, kuanguka, kupiga Tik Tak nk ili tu afanikiwe lengo lake. Alikuwa ananiuwa zaidi anapogipa zile chenga zake za mara mbili yaani anaupiga mpiga tuseme upande wa kulia na palepale anaurudisha kushoto.
Kinachonishangaza na kuniudhi kwa Messi ni kuwa jamaa hatumii kabisa maguvu. Akifika anakuwa kama vile kawapulizia adui zake dawa fulani ya kuwalaza. Akiwapita ndiyo wanakimkimbiza ila wakimfikia bado wanapooza tena. Sijui kama hii ina mahusiano yoyote na mguu wake wa kushoto.
Ukiangalia vizuri Video yako, hasa zile slow motion, unaona kabisa pana wakati mpira hata haugusi ila Mabeki wanapita na kuukosa. Unaweza ukaamini kuwa ni Uchawi ila jamaa kweli aianafanya vitu vyake. Messi anafuata sehemu walipo Mabeki wengi na siyo kuwakimbia. Kwenye 4:21 naona anatumia Jordan Law (Michael Jordan) kwa kulipita goli la upinzani na kufungia upande wa pili. Waangalie wachezaji wa upinzani kama vile wamepuliziwa dawa ya kufikiri. Mbele zaidi unaona anavyowapita hata Real Madrid huku wamesimama...... Huyu jamaa sijui anatumia uchawi gani. Hili ndiyo wengine linawaudhi maana inakuwa kama vile Messi anacheza na wenzake ambao wameleshwa wakati Gaucho unaona kweli anacheza na Binadamu wenzake...... Ni maoni yangu.
ronaldinho is talented and funny - YouTube
Mkuu Sikonge nilikuwa sijaiona huo uchambuzi wako hapo juu, kumbe ulishamaliza kila kitu - hayo sio maoni, ndio ukweli wenyewe, tunaojua soka hatuwezi kudhalilisha utaalamu wetu kwa kukubishia; huyo jamaa hana wa kufanana naye hapa duniani ("he is in a class of his own")!
"Other players seem to chase the ball, while Messi moves in concert with it, full speed to full stop" - OTL: Lionel Messi, Here & Gone - Soccer - ESPN
"I saw a video of Messi playing soccer here with his young nieces and nephews, dodging and feigning, moving the tiny ball with his feet, the kids unable to take it away. The look on his face is the same as when he plays in front of millions of fans. There's something innocent about him with a ball. His friends laugh about how Messi seems somehow less than himself without one. Leguizamon told us a story. The last time Messi came to visit, they hung out in a backyard, and they watched him, uneasy, antsy. Finally, without even realizing he was doing it, he pulled a lemon from a tree and juggled it mindlessly with his feet, whole again" - OTL: Lionel Messi, Here & Gone - Soccer - ESPN
"'Some of the coaches told us not to tackle him too hard so as not to injure him. But even if we wanted to, we couldn't get anywhere near him. He was so quick, he was impossible to tie down" - Gerard Pique, http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-1264310/Lionel-Messi-You-stop-kid-says-Gerard-Pique.html
Gaucho made Barca...Barca made Messi
Eti He has
everything in his locker...ana kombe la Dunia?
Msikurupuke
Gaucho ni mmoja wa wachezaji bora kabisa kuwahi kutokea ulimwenguni, Messi ameuwasha moto kwenye La Liga katika kipindi cha miaka 8, akivunja rekodi mbalimbali ikiwemo ya kufunga mabao mengi. Lakini Ronaldinho kipekee zaidi aliibadilisha historia ya Barca alipowasili Nou Camp 2003, na kuchangia kwa mafanikio wanayoyapata kikosi cha sasa. GAucho aliibadilisha historia ya barca kumbuka barca hawakuwa wameshinda taji lolote kwa miaka mingi. Alikuja na kuifanya Barca kuwa na nguvu.Alikuwa anafanya vitu vyake vya kustajaabisha kila siku.
Kwa wewe unayeabudu miungu, mimi binafsi namuabudu Mungu na hafananishwi na kiumbe chochote.
Tukirudi kwa Ronaldinho......total failure. Poor performance na juu ya yote hata penalty imemshinda...what a shame!
Mnaweza mkawa na ugonjwa wenu mnaoygya akili kiasi hata mlichokiona kwa macho msikiamini, basi ni waache huru muendelee katika upotofu wenu, manake sitashangaa yale madudu aliyoyafanya Ronaldinho juzi mkisingizia ni 'PHOTOSHOP' ili tu mpindishe ukweli ambao mimi na ninyi tumeuona wazi.