Yeth lottah
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 1,405
- 2,229
Sijawahi ona utetezi wa kike kama huuMchezaji bora wa wakat wote
Huyu alikuwa anafunga sio kushndania ufungaji bora
Ila alikuwa anafunga inapobid tu
Source: The 10 things you do not know about Ronaldinho!Wabongo bwana. Mnapenda kumake na kupost,without evidence ni kama kutwanga maji kwenye kinu 😛😛😛😛😛😛
Wote wamecheza barca as a free role player na kazi ya free role ni kufunga na kuassist sasa mbona hana lolote gaucho alilolifanya?Usije hapa jukwaani uonekane na wewe unajua mpira, binafsi siwezi kubishana na mtu mwenye akili ya kukariri, takwimu unazotaka wewe ni za magoli na ndipo napoona nazungumza na kilaza asiejua soccer, unaijua tofauti ya nafasi aliokua anacheza gaucho na messi? Kila mmoja ana majukumu yake kwahivyo usitegemee takwimu zao kufanana, kasome majukumu ya messi na gaucho ndo urudi hapa , ndo nyinyi mtaanza kubishana nani zaidi kati ya hazard na ngolo kante.
Ukija usije kama kondoo
Uteja wake ndyo hoja ya kumusafisha gaucho au?Huyo mtoto wa kuitwa alosto Ni mpumbav sana
Teja la kinyerezi liloshindkana
Muulize Ramos siku hio...sio kwa mikiki hio. Ulimi wote njeeMakofi juzi inesta kapigiwa Santiago kwaiyo hiyo sio sababu mkuu
Kuhusu kuwapiga Madrid messi na gaucho nani kawapiga sana?
Ramosi kateswa sana na messi kwaiyo its not a factMuulize Ramos siku hio...sio kwa mikiki hio. Ulimi wote njee
Umeongea point sana mkuuNilikuwa napenda sana kumuona Gaucho na yale Mautundu yake.Ila pia nafarijika sana Kumuona Lionel Messi akiwa yupo high akichambua mabeki na lile guu la Kushoto.Gaucho atabaki na Ubora wake na Pia Bwana LM ataendelea kwa ubora wake ambao anao na huwezi compare hao watu.Nyakati zile na nyakati hizi.Mtaishia tu kutukanana sana humu .Ona wenyewe wanavyosema kuhusu kila moja,anagalia comments zao humu zilivyo.
Blaugrana legend Ronaldinho, who provided the assist for Messi's first senior goal against Albacete on 1 May 2005, has revealed he is proud to have played a role in the Argentina captain's career.
"It's a beautiful story. I feel proud to have been part of the beginning of his incredible story," the Brazilian told UEFA.
"He's on the verge of 500 goals for the club (quotes from before El Clasico) and I set up the first of them with my pass. So I played my part in the beginning of his story. I'm really proud of it.
"He's a great friend of mine. He's like a brother too. He's a great man.
"It's wonderful to see everything he's achieved and he still has lots to give – so I feel really proud to have played a part in the beginning of that story."
“Leo Messi reminds me more of Maradona, both left-footed and short, Messi is the best player in the world, along with Kaka and Cristiano Ronaldo.
"For us it is not a surprise. Since he began to come and train with us and we knew we would go down this path. Someday I will explain that I was at the birth of one of the footballing greats: Leo Messi."
View attachment 679611
Tuendelee na kupuyanga na matusi na kejeli juu ya hao wawili,wote ni bora na wataendelea kuwa bora daima mpaka wapatikane watu kama hao hapo baadaye.Kama ilivyo kwa manabii walikuja na wakaondoka kwa nyakati tofaut tofaut.Huwezi kutuambi sijui nani ndio nabii wa mpira wa maisha.Tuwe tunatumia critical reasoning.Ndio maana soka la africa lipo lipo tu tunabaki kushangilia vya hao jamaa.
Kuanzia mashabiki mpaka wachezaji hatujielewi.
Tatizo la mashabiki wa gaucho hamna evidence za kuonyesha ubora wa jamaa yenu zaidi ya kutia hurumaBro alikua vizur sana! Katika soka hakuna ubishi wengine watakuja na ubishi tu wa kumponda ila hamna jinsi
Mlete mama akoSijawahi ona utetezi wa kike kama huu
We choko acha kunikotUteja wake ndyo hoja ya kumusafisha gaucho au?
Wewe mama huna mkuu au alishaga kufa?Mlete mama ako
Kunikot ×We choko acha kunikot
Njo nikusokote pimbi weKunikot ×
Quote √
Usikute hadi form four uligonga mwamba
Punguwan waheed
Njo =×Njo nikusokote pimbi we
Fua chupi kwanzaNjo =×
Njoo =√
Usingekimbia umande asubuhi ungekuwa mwelevu mno lakni nahisi wewe ndiye mtu pekee mwenye afya mbovu ya akili humu jamiiforum
Naomba unikumbushe kama nimesahau Toka nymar kaanza kuchezea timu ya taifa kabeba kombe la dunia?Ivi mbona gaucho fans boys mkiambiwa mlete statistics for comparison kati ya neymar na gaucho za Brazil,P.S.G,Barca tuone who was the best mnakasirika?