Arsenal tulikoma mbele yake, ila Chelsea walikoma zaidi.
Akiwa anatabasamu huku anakata viuno aliachia shuti lililotinga moja kwa moja wavuni. Hata kipa hakuruka kuonyesha ushahidi.
Hiyo ilikua Barcelona na Chelsea.
Zidane akavalishwa kanzu ya kwanza, akavuliwa, akapigwa tobo halafu jamaa akachanja mbuga.
Mwisho wa mchezo Zidane akawa anaongea na jamaa huku wanacheka.
Akiwa anadhihirisha ile free spirit aliyonayo, akaenda kwenye press conference huku anakunywa Pepsi wakati ana mkataba na Coca.
Mkataba na Coca ukasitishwa.
Jamaa ni moto