Ronaldo aamua kuyafuata maneno ya Floyd Mayweather.

Ronaldo aamua kuyafuata maneno ya Floyd Mayweather.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Bondia bora wa muda wote katika madaraja yote ya ngumi (Pound for pound),Floyd Mayweather aliwahi kusema "If it makes dollars it makes sense" kauli hii aliitoa baada ya watu kumshutumu kwamba amefulia kwa kitendo cha yeye kucheza exhibition fights na kuacha kupigana na real boxers wanaotrend kwa sasa. Floyd akawajibu yeye kwa sasa anachoangalia ni pesa tu hakuna alichokiacha kwenye boxing ku prove kwamba yeye ndiye bondia bora wa muda wote.

Hii ni sawa pia kwa Christiano Ronaldo hakuna alichokiacha kwenye mpira ku prove kwamba yeye ni bora, hivyo basi kwa muda uliobakia ni bora a focus kwenye kuangiza pesa zaidi maana kwa alipofikia hakuna anachodaiwa kwenye mpira.

Pia Floyd aliwahi kusema "Tough times never last but tough people do" ,hii kauli pia inasadifu vilivyo kwa CR7 kutokana na misukosuko aliyoipitia kipindi cha hapa kati.

images.jpeg
 
Maneno ya Floyd Ni kuntu kabisa.
Yaah, angalia pesa kwanza hayo mengine baadaye ndio maana pia huwa anasema kuna watu wanalipa viingilio kwenye mapambano yake ili washuhudie jinsi atakavyopoteza pambano,pia kuna watu wanalipa viingilio ili kuona ushindi wake ila yote kwa yote wote wanalipa .
 
[emoji16][emoji16][emoji16] wabongo buana

Unaamini kuna mzungu atakaa kufuatilia ligi ya uswekeni
Ronaldo baada ya msimu moja joto litamshinda agombee na waarabu
Al nasr followers wanazd kumiminika tu huko insta,b4 cr7 walikua na followers almost 8k asaiv wamefika 3m na points na wanzd kuongezeka
 
Back
Top Bottom