Ronaldo aamua kuyafuata maneno ya Floyd Mayweather.

Ronaldo aamua kuyafuata maneno ya Floyd Mayweather.

Kuna umri ukifika inabidi upunguze matumizi ya nguvu na kutengeneza pesa.
 
The Cr7 Effect [emoji3590][emoji91]
Al-Nassr have 860k followers To 3M Followers their following in just a few hours since announcing the signing of Cristiano Ronaldo [emoji409]
 
Yule alimnunua kama unavyonunua malaya kitaani kwako na ni kipindi akiwa kinda kule MUFC,ndo maana huwa anashinda kesi maana ilikua mapenzi ya makubaliano ila binti kila akiona CR7 anavuta pesa ndefu anaibua tuhuma avute mpunga zaidi
Alibaka mwanamke kule usa akaohopa kwenda
S
 
Hivi unafahamu kuwa watu wanaobet wanafatilia kila ligi na hicho ni kikundi kikubwa cha watu wenye pesa zao,Soka ni burudani na ajira kubwa sana. Hivyo mkuu punguza uadui kwa mchezaji asiyekufahamu aiseee Japo am CR7 fan ila sijawahi muongelea shit Messi wala kumuombea mabaya kama mnavyomchukia ronaldo
Hakuna wa kufuatilia ligi ya uswekeni mkuu
Km
Km watu hawakufuatilia ligi ya china waliomwaga mpunga na kila aina ya mchezaji waje wafuatilie uswekeni
 
Hakuna wa kufuatilia ligi ya uswekeni mkuu
Km
Km watu hawakufuatilia ligi ya china waliomwaga mpunga na kila aina ya mchezaji waje wafuatilie uswekeni
Uswekeni kwenye hela, bilioni 40+ Tsh
kwa mwezi..tafuta hela.
 
Tunaongha profile ya mchezaji
Anatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?
 
Alisema anataka kushinda uchezaji bora amfikie messi
Anatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?
 
Anatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?
Mkuu achana na huyo mpumbavu bado huja mjuaga tu? Ebu fuatilia nyuzi zake anazo letaga humu utagundua ana matatizo ya akili.
 
Kabisa hata kama Ndondo kapu wanampa mtonyo atakuja kucheza tu CR7.

Mpunga kwanza.
 
Back
Top Bottom