uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Kwa vifujo vya ronaldo na kuzira km msichana jiandae kwa lolote
Mkuu unaandika kilugha gan hiki? Are u fine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaandika kilugha gan hiki? Are u fine?
Alipo nipoKwa vifujo vya ronaldo na kuzira km msichana jiandae kwa lolote
Uandishi wako una shida, kioo cha simu yako kina tatizo ?Alibaka mwanamke kule usa akaohopa kwenda
S
Mkuu unaandika kilugha gan hiki? Are u fine?
Messi anakufa na utamu wake.Hata Messi naye mwakani anaenda tafuta Pesa Marekani
Kama alishndwa kuonyesha kiwango akiwa Manchester na Timu ya taifa World cup, ndiyo kiwango kitapanda akiwa Uarabuni?!Ligi ya Saudi itaanza fatiliwa sababu ya Cr
Uandishi wako una shida, kioo cha simu yako kina tatizo ?
Alibaka mwanamke kule usa akaohopa kwenda
S
Hakuna wa kufuatilia ligi ya uswekeni mkuu
Km
Km watu hawakufuatilia ligi ya china waliomwaga mpunga na kila aina ya mchezaji waje wafuatilie uswekeni
Uswekeni kwenye hela, bilioni 40+ TshHakuna wa kufuatilia ligi ya uswekeni mkuu
Km
Km watu hawakufuatilia ligi ya china waliomwaga mpunga na kila aina ya mchezaji waje wafuatilie uswekeni
Uswekeni kwenye hela, bilioni 40+ Tsh
kwa mwezi..tafuta hela.
Anatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?Tunaongha profile ya mchezaji
Anatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?
Mkuu achana na huyo mpumbavu bado huja mjuaga tu? Ebu fuatilia nyuzi zake anazo letaga humu utagundua ana matatizo ya akili.Anatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?
Kombe la dunia sio kitu kidogoAnatafuta profile gani cr7? ,[emoji23][emoji23][emoji23] kuna kipi kwenye soka hajawahi kufanya? Au ni hilo kombe la dunia, au kwa sababu hachezi klabu kubwa ulaya kwa umri alionao?
Hii I'd ilipotea sana jukwaan, tatzo nn mkuuKuna umri ukifika inabidi upunguze matumizi ya nguvu na kutengeneza pesa.
ipo ilijulikana kama Rreigns.