Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Ronaldo aichezea Man United, aondoka uwanjani baada ya kufanyiwa 'sub'
Cristiano Ronaldo ameichezea Manchester United mechi ya kwanza baada ya kukosekana kwa zaidi ya mwezi mmoja, pamoja na hivyo alicheza kwa dakika 45 dhidi ya Rayo Vallecano kisha akaondoka uwanjani wakati kipindi cha pili kikiendelea.
Mashabiki walimpiga picha akitoka Uwanja wa Old Trafford, wapo walioamini alicheza mechi hiyo ili kujiweka fiti kwa kuwa anaondoka, wengine wakatafsiri ni utovu wa nidhamu kwa klabu na wachezaji wenzake.
Katika mchezo huo wa kirafiki ni #Ronaldo pekee ndie aliyefanyiwa mabadiliko wakati wa mapumziko, huku mchezo ukimalizika kwa matokeo 1-1.
Kocha wa #ManUnited, Erik ten Hag hakuzungumzia suala hilo.
===============
Glum-looking Cristiano Ronaldo leaves Old Trafford before the final whistle after he was the ONLY player to be hauled off at half-time against Rayo Vallecano
Cristiano Ronaldo left Manchester United's friendly with Rayo Vallecano early, intensifying the scrutiny over his Old Trafford future, according to reports.
He played the first 45 minutes of Sunday's friendly against Rayo Vallecano but was the only player to be substituted off by manager Erik ten Hag at halftime.
The reported early exit comes amid uncertainty over his Old Trafford future with Ronaldo wanting out of the club as United have no Champions League football this season.
The forward received a rapturous reception from United fans in attendance but he looked glum as he briskly made his way to his car, according to The Times.
Ten Hag did not address the matter after the game as the club had already decided prior that the Dutchman would not hold a post-match press conference and he was not quizzed on Ronaldo's reported early exit in his only post-match interview with the club's in-house TV station, MUTV.
The report adds that the club declined to comment when asked if Ronaldo had permission to leave the stadium before the end of the match.
Source: DailyMail
Cristiano Ronaldo ameichezea Manchester United mechi ya kwanza baada ya kukosekana kwa zaidi ya mwezi mmoja, pamoja na hivyo alicheza kwa dakika 45 dhidi ya Rayo Vallecano kisha akaondoka uwanjani wakati kipindi cha pili kikiendelea.
Mashabiki walimpiga picha akitoka Uwanja wa Old Trafford, wapo walioamini alicheza mechi hiyo ili kujiweka fiti kwa kuwa anaondoka, wengine wakatafsiri ni utovu wa nidhamu kwa klabu na wachezaji wenzake.
Katika mchezo huo wa kirafiki ni #Ronaldo pekee ndie aliyefanyiwa mabadiliko wakati wa mapumziko, huku mchezo ukimalizika kwa matokeo 1-1.
Kocha wa #ManUnited, Erik ten Hag hakuzungumzia suala hilo.
===============
Glum-looking Cristiano Ronaldo leaves Old Trafford before the final whistle after he was the ONLY player to be hauled off at half-time against Rayo Vallecano
Cristiano Ronaldo left Manchester United's friendly with Rayo Vallecano early, intensifying the scrutiny over his Old Trafford future, according to reports.
He played the first 45 minutes of Sunday's friendly against Rayo Vallecano but was the only player to be substituted off by manager Erik ten Hag at halftime.
The reported early exit comes amid uncertainty over his Old Trafford future with Ronaldo wanting out of the club as United have no Champions League football this season.
The forward received a rapturous reception from United fans in attendance but he looked glum as he briskly made his way to his car, according to The Times.
Ten Hag did not address the matter after the game as the club had already decided prior that the Dutchman would not hold a post-match press conference and he was not quizzed on Ronaldo's reported early exit in his only post-match interview with the club's in-house TV station, MUTV.
The report adds that the club declined to comment when asked if Ronaldo had permission to leave the stadium before the end of the match.
Source: DailyMail