Ronaldo anaendelea kutudhihilishia walimwengu kuwa Dunia bado inaviumbe wa ajabu katika suala la soka

Ronaldo anaendelea kutudhihilishia walimwengu kuwa Dunia bado inaviumbe wa ajabu katika suala la soka

Mashabiki wa mpira bwana siku mchezaji au timu ikifanya vizuri sifa kibao ila ngoja aharibu utasikia mara ooh umri umeenda atuachie timu yetu, mara oooh hana commitment etc. Huwa nacheka sana.
 
Sasa hivi kabakiza kuvizia ndani ya box kama namba 9 mithili ya Nestroy,kucheza mpira na udambwi kwisha habari yake.[/Q
Ukitaka kujua radha ya udambwidambwi waulize PSG kwa Neymar Jr, . PSG hawana hamu ya huo udambwidambwi unao sema wewe. Mpira siyo udambwidambwi , mpira ni magori, magori, magori mkuu.
 
Mashabiki wa mpira bwana siku mchezaji au timu ikifanya vizuri sifa kibao ila ngoja aharibu utasikia mara ooh umri umeenda atuachie timu yetu, mara oooh hana commitment etc. Huwa nacheka sana.
Hao mashabiki Maandazi wapo wengi sana huku Bongo
 
Mbona Rooney alifunga zaidi ya hilo zidi ya man CTY...sio sababu ya kuanzisha uzi
 
Back
Top Bottom