uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Christiano ronaldo aliyehamia klabu moja uko uarabuni amelazimisha kipengele cha kujiunga na Newcastle united majira ya joto ikiwa new castle united ya uingereza utafuzu kucheza UEFA msimu wa 2023/2024
Pia imasemwa atakuwa anaenda uarabuni siku mbili kabla ya mechi, mechi ikiisha anapanda pipa anarudi spain
BBC Sports
Huyu mtu anateseka kwa kukosa akili na washauri
Pia imasemwa atakuwa anaenda uarabuni siku mbili kabla ya mechi, mechi ikiisha anapanda pipa anarudi spain
BBC Sports
Huyu mtu anateseka kwa kukosa akili na washauri