Hana huo utajiri wa kuilisha Tanzania mwaka mzima pitia data vizuri, anazidiwa had na mo dewji utajiri mkuu,Yaani mtu aliyejipambania tangu akiwa mtoto masikini mpk kupata utajiri wa kuweza kuilisha tanzania ukiwemo ww kwa mwaka mzima unamwita amekosa akili? Tuko na kizazi cha ajabu sana
Jamaa anazingua huyoHana huo utajiri wa kuilisha Tanzania mwaka mzima pitia data vizuri, anazidiwa had na mo dewji utajiri mkuu,
Mi Nina fote saivi lakini bado kinda kwenye kusaka mafanikioMpira bwana, eti Ronaldo kazeeka
Kabisa yaaniMi Nina fote saivi lakini bado kinda kwenye kusaka mafanikio
Kwahiyo hapo ndo anatia huruma? Nchi hii inawatu wa hovyo Sana πππChristiano ronaldo aliyehamia klabu moja uko uarabuni amelazimisha kipengele cha kujiunga na Newcastle united majira ya joto ikiwa new castle united ya uingereza utafuzu kucheza UEFA msimu wa 2023/2024
Pia imasemwa atakuwa anaenda uarabuni siku mbili kabla ya mechi, mechi ikiisha anapanda pipa anarudi spain
BBC Sports
Huyu mtu anateseka kwa kukosa akili na washauri
Hawezi shindana na mess kipengele Cha world cup Kisha watofautisha ,so hakuna jipya hapo. Ni nyie mashabiki mnatengeza perception za kwenu.Ukishindana sana na messi hayo ndo yanakukuta
Ni kweli penaldo hawezi kushindana na MessiHawezi shindana na mess kipengele Cha world cup Kisha watofautisha ,so hakuna jipya hapo. Ni nyie mashabiki mnatengeza perception za kwenu.
Nimeshangaa sana aisee. Hivi vibando vinawapa watu uhuru wa kujimwambafai wakati hajawahi fikia status ya hata kiongozi wake wa KataYaani mtu aliyejipambania tangu akiwa mtoto masikini mpk kupata utajiri wa kuweza kuilisha tanzania ukiwemo ww kwa mwaka mzima unamwita amekosa akili? Tuko na kizazi cha ajabu sana
Sijui yy na Ronaldo nani hana akili.πππYaani mtu aliyejipambania tangu akiwa mtoto masikini mpk kupata utajiri wa kuweza kuilisha tanzania ukiwemo ww kwa mwaka mzima unamwita amekosa akili? Tuko na kizazi cha ajabu sana
Ni team zinazomilikiwa na mtu mmoja.Halafu akiwa newcastle alipwe hela ile ile anayolipwa alnasr? Jamaa anajikuta king Messi..
Hata Reginald Mengi na Augustine Mrema walikosa akili. Kukosa akili hakuchagui umaarufu....RONALDO AMEKOSA AKILI????
Hii ni dharau Kali ya Mwaka???
Ronaldo AMEKOSA AKILI????
Ronaldo AMEKOSA AKILI????
Ama kweli GT TUNAISHA KWA KASI HUMU NDANI.
Unaweza kuwa na akili miaka yote ya ujanani afu kakatokea kademu kama Jack Ntuyabaliwe kakakufanya kiazi.Yaani mtu aliyejipambania tangu akiwa mtoto masikini mpk kupata utajiri wa kuweza kuilisha tanzania ukiwemo ww kwa mwaka mzima unamwita amekosa akili? Tuko na kizazi cha ajabu sana
Tatizo mnajifanya mnawajua sana watuKivuli cha Messi kinamtesa Ronaldo