Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Cavan ndiye aliye mpaka ronaldo na sio ronaldo alimnyang'anya cavan! Nenda kwenye insta ya man united utaona post cavan aliyo andika kama ishara ya kumpa ronaldo namba 7 yake.
Kwanini asiigomee kama mwalimu wake alivyofanya kwa neymar!!!!