Ronaldo atimiza magoli 700

2
Nje ya Barca sio lazima iwe club nyingine, kuna timu ya Taifa, unawalinganishaje Messi wa Barca na Messi wa Argentina??wana makali sawa kwa maoni yako?
Messi ni gharama ndo mana yeye katulia Barca na kila kitu anakipataa pale
 
Kuna watu hawautumii ubongo wao viZuri

Cr7 kacheza mechi 100+ zaidi ya Messi lakini Bado kampita Messi goli chini ya 30 tuu !!

Halafu hapo Messi kamzidi Cr7 assist zaidi ya 50 ? Hamjiulizi tuu hapo ?


Just imagine Messi akifikisha mechi alizocheza Cr7 atakuwa na goli ngapi !!

It’s just a matter of time record zote za Magoli zitavunjwa na Lionel sababu ana muda wa kutosha Ndio kwanza ana 32
 
Kiwango chake duni alipokuwa mdogo ndio kilifanya asianze kucheza timu kubwa,nashangaa unavyosema kuwa kama angeweza kuanza kucheza timu kubwa-this is an illogical argument
 
As long as CR 7 hawezi kumzidi messi Ku dribble mpira basis hawezi kuwa bora hats siku 1 mbele ya messi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…