Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
2
Messi ni gharama ndo mana yeye katulia Barca na kila kitu anakipataa paleNje ya Barca sio lazima iwe club nyingine, kuna timu ya Taifa, unawalinganishaje Messi wa Barca na Messi wa Argentina??wana makali sawa kwa maoni yako?