Ronaldo atimiza magoli 700

Ronaldo atimiza magoli 700

2
Nje ya Barca sio lazima iwe club nyingine, kuna timu ya Taifa, unawalinganishaje Messi wa Barca na Messi wa Argentina??wana makali sawa kwa maoni yako?
Messi ni gharama ndo mana yeye katulia Barca na kila kitu anakipataa pale
 
Kuna watu hawautumii ubongo wao viZuri

Cr7 kacheza mechi 100+ zaidi ya Messi lakini Bado kampita Messi goli chini ya 30 tuu !!

Halafu hapo Messi kamzidi Cr7 assist zaidi ya 50 ? Hamjiulizi tuu hapo ?


Just imagine Messi akifikisha mechi alizocheza Cr7 atakuwa na goli ngapi !!

It’s just a matter of time record zote za Magoli zitavunjwa na Lionel sababu ana muda wa kutosha Ndio kwanza ana 32
 
HEBU TUANGALIE REKODI ZA MESSI JA RONALDO TOKA MWAKA 2009- 2018.

HAPO NDIPO UTAJUA KAMA RONALDO ANGEANZA KUCHEZA LA LIGA TOKA MUDA KWA TIMU YA KARIBA YA BARCELONA AU REAL MADRID,ANGEKUA NA MAGOLI MENGI MNOO


HIZO MECHI WANAANZIA KUHESABU TOKA ENZI ZA SPORTING SP, WAKATI HUKU MESSI ANACHEZA TIMU BORA ZAIDI YA BARCELONA YENYE,RONALDINHO,ETOO,DECO,XAVI,INIESTA,NA PUYOL.

TUACHE UJINGA RONALDO ANGEFANYA MAKUBWA ZAIDI YA MESSI,KAMA ANGEKUWA YEYE PALE BARCELONA.View attachment 1235649
Kiwango chake duni alipokuwa mdogo ndio kilifanya asianze kucheza timu kubwa,nashangaa unavyosema kuwa kama angeweza kuanza kucheza timu kubwa-this is an illogical argument
 
As long as CR 7 hawezi kumzidi messi Ku dribble mpira basis hawezi kuwa bora hats siku 1 mbele ya messi
 
Back
Top Bottom