Hii ndio pointi,pamoja na chuki zote na changamoto alizopitia lakini ameshinda na anapiga hela.Yeye ni mfano wa kuigwa kwa wapambanaji.Watu wengi duniani wana chuki binafsi na ronaldo vikiwemo vyama vya soka,taasisi,makocha,mashabiki na wachezaji pia.Wanaona husda hata kumzungumzia kwa mema