Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Ha h ha unategemea nini wakati yeye ni Madrid DNA kipindi alichocheza Barca alikua underground kama Paco Alcacer
Mkuu Unasema Underground Wakati Aliondoka Barcelona Akiwa Mchezaji Bora Dunianai na Kwa Wakati Huo Alihamia Inter Kwa Uhamisho Wa Rekodi Ya Kuwa Mchezaji Anaelipwa Pesa Nyingi Dunianai???
Kupenda Mpira Karibuni Kunawasumbua Kweli....
Kwa Kukusaidia tu Ni Kuwa RONALDO anakwenda Kombe la Dunia Mwaka 1998 Akiwa Ndiye ICON Wa Mashindano Kama Ni Top Star asiyekaribiwa na Mchezaji Yeyote yule...
Kabla Ya Kucomment Kwanza Uliza Wanaojua.