Ronaldo de lima: Nilipewa sumu mwaka 1998 finali nisicheze, Ila mwaka 2002 nikagundua tena mpango huo,Dida anajua

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Ronaldo original Amesema Kwamba alipata taarifa kutoka Kwa baadhi ya wahudumu wa sehem walikoweka kambi mwaka 1998 kwamba walimwekea sumu kwenye chakula na malazi ili asicheze vema , lakin alijitahidi kucheza kadri ya uwezo wake,

Na Hali hiyo ikataka kujirudia mwaka 2002 akasikia mazungumzo ya watu na wahudumu, Shahid wake ni Dida golikipa au Nyanda wao,
 
aache uswahili huyo ile fainali ya 1998 akubali tu france walikuwa wapo vizuri

zizou akiwa katika kiwango chake hakuna wa kumzuia na je 2006 kule ujeruma wakati anapigwa madaliz na zizou pia aliwekewa sumu?
 
Tukio lile lilipomkuta nilipata Simanzi kiasi siwezi kusahau kamwe maishani..!

Nadhani ni wale Maharamia wacheza Kamari wakubwa walihusika kwenye tukio hili..!

Hali ilikuwa mbaya sana kwa Timu ya Brazil na kupelekea Ufaransa kubeba Kombe huku Z. ZIDANE akiibuka Shujaa wa mchezo..!

The Game was not Fair at all..
 
Inasemekana Ronaldo alipata kifafa masaa machache kabla ya Fainali ya World cup pale jijini Paris mwaka 1998.

Dokta wa timu ya taifa ya Brazil akashauri asipangwe ili kumpa nafasi ya kurecover, na kwenye kikosi kilichotoka lisaa limoja kabla ya mechi Ronaldo hakuwepo.

Wadhamini wa Ronaldo ambao ni kampuni ya michezo ya Nike walivyoona Ronaldo amepata nafuu wakalazimisha Ronaldo aanzishwe na kweli kocha akampa nafasi dakika chache kabla ya mechi, Ronaldo akaanza lakini hakuwa na makali yoyote yale, alicheza kukamilisha ratiba tu.
 
huwa naipenda Brazil kwa sbabu ya huyu jamaa 1998 nilikua la kwanza bt nilifaidi 2002
 
Kawa bonge hivi duuuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…