Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Kumwita kitimoto binadamu mwenzio ni hilo ndugu.Tusi liko wapo dogo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumwita kitimoto binadamu mwenzio ni hilo ndugu.Tusi liko wapo dogo ?
Tafsiri halisi ya kitimoto unaijua ?Kumwita kitimoto binadamu mwenzio ni hilo ndugu.
6Ni kweli kabisa, kipindi alipokuwa peak hakuweza kuibeba tinu maana waliomzunguka wachache walikuwa wanamfikia na bahati mbaya walikutana na timu zilizo bora zaidi Euro sijui mwaka gani ninesahau kidogo wakitolewa kitu kama kwa penati hivi kama siyo England ya Rooney basi timu nyingine.Ronaldo ana gundu la kupishana nyakati nzuri. Kipindi yupo kwenye peak timu ya taifa ilikua mbovu sasa hivi angalao timu ya taifa ina wachezaji wazuri jamaa mpira tayari umeisha. Uero alikua mzigo kwenye mechi zote sema martinez alikua anaogopa kumpiga sub.
Messi nyakati zote za uchezaji wake Argentina ilikua na timu nzuri. Lilikua ni suala la muda tu aanze kubeba makombe na argentina. Ni kweli mchezaji anaweza kuleta tofauti lakin ubora wa timu inayomzunguka pia una nafasi kubwa
Kidogo na ile chile ya vidal na sanchez ilimsumbua Argentina ila hawa wengine hakuna kitu6Ni kweli kabisa, kipindi alipokuwa peak hakuweza kuibeba tinu maana waliomzunguka wachache walikuwa wanamfikia na bahati mbaya walikutana na timu zilizo bora zaidi Euro sijui mwaka gani ninesahau kidogo wakitolewa kitu kama kwa penati hivi kama siyo England ya Rooney basi timu nyingine.
Argentina ukiangalia timu nzima iko moto mpaka leo na siku zote Argentina huwa anasumbuliwa na nchi mbili tu Brazil na Colombia baasi
Hafaiii kuwa goatThat is it.
I'm writing this because Today The true footballer has added another trophy on his cupboard.
That man who is currently playing Al Nassr, He's not deserving to be true GOAT. The guy had not won the world cup neither he doesn't have the world cup runner up medal.
This means, no any point at the world cup competition he had tried his best to help his national team at least to reach final. That is worst.
And when you talking about another achievement in the national team level then Messi has achieved a lot that Ronaldo and it'll remain that way forever.
Sisi huku tuna pambana ila kwao wamemuweka kwenye sarafu yenye thamani ya Euro 7 (The true meaning of CR7)