Mwanangu usijaribu kufanya hivyo kwa simba hii ya cf ya Bocco, utaokota makopo muda siyo mrefu.
Simba hii ya 3bn na kocha huyu kimeo, Mungu akiwa upande wao watafungwa si chini ya bao 3-0
Ila wewe jamaa upatiwe tuzo na CR7 you are a true believer. Team Ronaldo wenzako tangu Messi anyanyue kwapa WC wamesalimu amri wamekaa pembeni wanaappreciate wote wawili ila wewe bado unampambania Roanldo kongole kwako😀