Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Hatimae mwanasoka machachari C.ronaldo amesema ni rahisi sana kushinda mataji ukiwa na Brazil, Germany, Argentina, lakini ni ngumu kushinda ukiwa na Portugal.
Haya yote ni baada ya kutolewa na Morocco kwenye Quarter Final lakini Portugal ni moja ya timu ambazo zilikua zimekamilika kila idara na ni timu ambayo ilikua inanafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Dunia 2022 je ni kipi kilichotokea??
Je ni kikosi gani ungechagua hapa??
Leao
Felix
B. Fernandes
B Silva
R Neves
Otavio
Cancelo
Dalot
bench
Dias
OR
Alvarez
Lautaro
Dimaria
Mac Allister
RDP
Enzo
Acuna
Molina
Romero
Otamendi
Lisandro
Martinez?
Haya yote ni baada ya kutolewa na Morocco kwenye Quarter Final lakini Portugal ni moja ya timu ambazo zilikua zimekamilika kila idara na ni timu ambayo ilikua inanafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Dunia 2022 je ni kipi kilichotokea??
Je ni kikosi gani ungechagua hapa??
Leao
Felix
B. Fernandes
B Silva
R Neves
Otavio
Cancelo
Dalot
bench
Dias
OR
Alvarez
Lautaro
Dimaria
Mac Allister
RDP
Enzo
Acuna
Molina
Romero
Otamendi
Lisandro
Martinez?