Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Nyota wa Ureno na Klabu ya Al Nassr, Cristiano Ronaldo ametamka hadharani kwamba, Vinicius Jr alistahili kushinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu. Ronaldo amezungumza hayo mbele ya wahudhuriaji wa tuzo za Globe Soccer.
"Kwa maoni yangu [Vinicius Jr alistahili kushinda, ilikuwa sio haki, alistahili kushinda na ninasema hapa mbele yenu nyote. Walimpa Rodri, alistahili pia lakini nafikiri walipaswa kumpa Vinicius kwa sababu ameshinda taji la Ligi ya Mabingwa na alifunga bao kwenye fainali. Mambo mengine hayana umuhimu pale unapostahili, unapaswa kumpa anayestahili. Ndio maana nazipenda hizi tuzo Globe Soccer, mnafanya tuzo zenu kwa haki." - Cristiano Ronaldo
Soma, Pia:
• Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo
• Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti vyao katika Hafla ya Ballon d’Or usiku huu
"Kwa maoni yangu [Vinicius Jr alistahili kushinda, ilikuwa sio haki, alistahili kushinda na ninasema hapa mbele yenu nyote. Walimpa Rodri, alistahili pia lakini nafikiri walipaswa kumpa Vinicius kwa sababu ameshinda taji la Ligi ya Mabingwa na alifunga bao kwenye fainali. Mambo mengine hayana umuhimu pale unapostahili, unapaswa kumpa anayestahili. Ndio maana nazipenda hizi tuzo Globe Soccer, mnafanya tuzo zenu kwa haki." - Cristiano Ronaldo
Soma, Pia:
• Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo
• Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti vyao katika Hafla ya Ballon d’Or usiku huu