Ronaldo yuko juu lakini Messi yuko juu zaidi

Takwimu zinazungumza...[emoji116]View attachment 1234479
Messi ni mchezaji Bora kabisa kuwai kutokea Barcelona ila kinachomfanya atofautiane na magwiji wengine kama Zidane, Ronldinho, Rotha Mateus, Maradona, Pele n.k ni kushindwa kuibeba Argentina kwa mabega yake mwenyewe, Argentina yenye vipaji lukuki vinavyo mzunguka kizazi kwa kizazi.
kwaiyo Mess atabakia kwenye kundi la wachezaji maarufu Kuwait kutokea kama Gerald wa liverpool, Shevchenko, Vanestrooy, Roone, Gian Franco Zolla, Rui Costa, George Hagi, Erick Cantona, Ian Rush n.k
 
Tafuta stats za uefa,nani anaongoza kuweka freekicks kambani,nani anaongoza assist,nan anaongoza kutengeneza nafasi za magoli,n.k.Kisha rudi tena kuandika urojo wako.


Mnamuita goal mashine wakati ana golden shoes 4, Messi ana 6, tena za ulaya sasa 😍
 


Nawasiwasi umeanza kufatilia mpira hivi karibuni.
 
Huyu messi inshort ligi na barcelona vinambeba,kama unabisha kuja hapa
 
Kuanzia 2009-2018
 
Pumba speakers huwa wananifurahisha sana. Utasikia ooh Messi hajawahi kucheza ligi ngumu ya Uingereza, lakini wanasahau Messi kashazifunga club zote kubwa za Uingereza. Sisi Arsenal tumekula za kutosha na wenzetu Wanteser United waliweka historia ya mbilikimo kufunga goli la kichwa mbele ya mabeki warefu kiasi Ferguson akapata kiharusi uwanjani


 
Tafuta stats za uefa,nani anaongoza kuweka freekicks kambani,nani anaongoza assist,nan anaongoza kutengeneza nafasi za magoli,n.k.Kisha rudi tena kuandika urojo wako.
We kweli dish, hata huko eufa ronaldo anashindana na messi kwa kufunga tu.
 
Ushajiuliza Ronaldo angeanzia soka lake La Liga kingetokea nini?!

Kwa miaka 10 mfululizo;
La liga mbili tu...
Copa del rey mbili tu...
Supercopa de espana mbili tu...
Uefa super cup mbili tu...sasa kingetokea nini! Huko juve amekimbilia vikombe akijua timu haina mpinzani many years wanachukua wao tu...Si angeenda basi kuwasaidia Atalanta au Fiorentina!πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu messi inshort ligi na barcelona vinambeba,kama unabisha kuja hapa View attachment 1236884

Hapo kuna mmoja selfish ndio maana ana magoli mengi na assist chache...jiongeze kijana wangu!


Na hapa kwanini hujiulizi...ndani ya miaka 10 katika kuitumikia Madrid πŸ‘‡


La Liga: 2011–12, 2016–17=2

Copa del Rey: 2010–11, 2013–14=2

Supercopa de EspaΓ±a: 2012, 2017=2

UEFA Super Cup: 2014, 2017=2

FIFA Club World Cup: 2014, 2016, 2017=3
 


Nimezicheki mpaka mwisho kamanda wangu...No comment πŸ™Œ
 
na wewe ushajiuliza messi angeanzia soka lake epl kingetokea nini?

Huwa wananishangaza sana hawa vijana...sijui beki gani wa kumsumbua Messi pale epl πŸ˜‚πŸ˜‚ wakati kulikuwa na mabeki mikatili miaka iliyopita akina NESTA, CANNAVARO, ROBERTO CARLOS N.K kawadhalilisha vibaya sana, CARLOS kidogo avunjwe kiuno mammaeπŸ˜‚πŸ˜‚...CANNAVARO alijidanganya kuzuia goli la mwenye mpira waka akajikuta anapiga column na kupelekea kuumia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡

Wana bahati hawakuchezanae mda mrefu, wangeisoma namba
 
Hawezi jiuliza.Ndo maana takwimu za Ronaldo,kuanzia msimu wa 2009/10 mpaka anaondoka madrid,huwezi kukuta wameziweka au kuzizungumzia hata siku moja.

Ronaldo/MadridπŸ‘‡
La Liga: 2011–12, 2016–17

Copa del Rey: 2010–11, 2013–14

Supercopa de EspaΓ±a: 2012, 2017

UEFA Super Cup: 2014, 2017

FIFA Club World Cup: 2014, 2016, 2017

King-BarcelonaπŸ‘‡

La Liga: 2004–05, 2005–06, 2008–09, 2009–10, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2017–18, 2018–19...kwanzia 2009 mpaka 2019 Messi kishabeba La liga 7 na Ronaldo akiwepo madrid

Copa del Rey: 2008–09, 2011–12, 2014–15, 2015–16, 2016–17, 2017–18...2009-2018 Messi kishabeba Copa del rey 5 na Ronaldo akiwepo madrid

Supercopa de EspaΓ±a: 2005, 2006, 2009, 2010, 2011, 2013, 2016, 2018...2009-2018 Messi kishabeba 6 na Ronaldo akiwepo madrid

UEFA Super Cup: 2009, 2011, 2015=3 na Ronaldo akiwepo madrid

FIFA Club World Cup: 2009, 2011, 2015=3 na Ronaldo akiwepo madrid


Golden boot katika misimu ifuatayo na Ronaldo akiwepo MadridπŸ‘‡
2009=1
2011=1
2012=1
2016=1
2017=1
2018=1
...............=6 Golden Boot na bado alipata injury sana.
 
Kwani kufunga ndo kucheza kwenye ligi?.Au unasahau inayocheza ni barcelona na nani ambaye ajui kua toka enzi na enzi ata kabla ya messi barcelona imekua ikizisumbua timu za uingereza.
 
Mesi kinachombeba ni mfumo wauchezaji wa barcelona nje ya hapo ni mchezaji wa kawaida tofauti na sifa nyingi anazopewa na mashabiki wake. angekua na huo uwezo mkubwa sana anaosemwa kua nao angeutumia kwenye timu yake ya Taifa tuone maajabu basi ila kaishia kutapika uwanjani.Kwamtazamo wangu bado naona ronaldo ni mchezaji mkubwa kwasababu kajitahidi kupata matokeo mazuri kwenye timu zenye wachezaji na mifumo yauchezaji ya kawaida ukilinganisha na barcelona.Kwaiyo endapo Cr7 angechezea barcelona naamini angekua na mafanikio makubwa zaidi.
 
Ukiona uyo anayesifiwa kua na uwezo mkubwa na takwimu nzuri hadi kura zinachakachuliwa ili ashinde lazima ufikiri mara mbili.Hiyo haina tofauti na CCM kujigamba wanapendwa na kushinda kwa kishindo wakati walifanya uchaguzi refarii akiwa wao na mpizani akiwa kafungwa mikono, mdomo na miguu.Ukweli bado uko wazi sana kua cr7 anajitahidi zaidi ya messi kwasababu ya mambo yanayoonekana dhahiri bila kuweka chumvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…